MADIWANI WAGOMEA KIKAO KISA AGENDA ZIMEKOSEWA

Na  noel Stephen Mpwapwa

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya mpwapwa mkoani dodoma wamezikataa agenda za vikao vya baraza hilo kwa madai ya agenda hizo kuwa  zimekosewa kuandaliwa na watendaji wa halmashauri  ya mpwapwa

Hali hiyo imejitokeza  mwishoni  mwa  wiki  katika  kikao cha baraza la madiwani wilayani mpwapwa  mala baada tu ya mwenyekiti wa halmashauri hiyo kufungua kikao   na kuwataka madiwani hao kuweza kupitisha  agenda za  kikao  ndipo diwani  wa kata ya kimagai bwana MATURUH   KUCHELA  kuomba muuongozo wa mwenyekiti   juu  ya uandaaji wa  wa taarifa ya kikao cha mwisho  wa mwaka kuwa agenda zilizo andaliwa zilikuwa zimekosewa.

Bwana kuchela alidai kuwa kwa mujibu wa kanuni za halmashauri  ya wilaya ya mpwapwa inamtaka  mkurungenzi kuwapatia  madiwani kablasha  siku  saba kabla ya  kikao kufanyika lakini hilo halitekelezwi  na kuto tilia mkazo swala hilo.

 Alisema madiwani  wa halmashauri hiyo makalasha wanaya patia ndani ya kiako  kitu walicho sema kuwa ni njanja ya watendaji ili kuwa rubuni washidwe kuhoji mambo ya utendaji kiundani.

Adha alisema kuwa  mbali na siku saba  lakini  walimuomba mkurugenzi wa halmashauri hiyo pamaja na madiwanai wa halmashauri walikubaliana kuwa  madiwana watakuwa wanapata  makablasha  siku moja  kabla ya kikao’’ nalo hilo limeshidwa kutekelezaeka  hi vyo kwa mujibu wa kanuni hii mwenyekiti naomaba kikao kiairishwe  aliomba  Kuchela ’’

Kwa upande wake diwani wa kata ya chipogolo  bwana  RAPHEL TEMALUJE aliomba  mwenye kiti kuweza kuruhusu kuzijadili agenda  ambazo hazikukosewa  amabazo kati aya agenda  kumi na nne ni agenda tatu tu ndizo hazikukosewa na zilioweza kujadiliwa na kikao hicho .

MWENYEKITI  wa hal;mashauri hiyo bwana ALEXENDER  NYAULINGO   aliweza kuwahoji madiwani kama wanao afikana  na kuahirishwa kwa kikao hicho lakini  madiwani hao wote kwa poamoja walikubaliana kuto kizipisha agenda za kiako hicho kuwa zimekosewa kandaliwa.

Pia madiwani hao walidai kuwa   kikao hicho kilikuwa ni cha  kumaliza mwaka hivyo zilitakiwa   kandaliwa taarifa za  robo zote nne kitu ambacho hakikufanyika katika  kikao hicho na ziliandaliwa taarifa za robo moja tu   kitu ambacho madiwani walidai watashidwa kuhoji mapato na matumizi  kwa mwaka wa a fedha ulio pita .

Kuhusina na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo bwana Fanuel SENGE  aliwaomba madiwanai kupitisha agenda hizo kwa madai kuwa alishidwa kanadaa kablasha la mwaka mzima kutokana na kuwa litakuwa kubwa sana na madiwani watashidwa kupata muda  wa kuya pitaia  mambo yote yaliyo kuwemo ndani ya kablasha  hilo.

Agenda zilikukubaliwa  kujadiliwa na madiwanai hao zilikuwa na  tatua amabazo zilikuwa nai  kufungua kikao , kufanya uchaguzi wa kamati za kudumu za madiwani  na agenada ya kufunga kikao.

 Katika  uchaguzi    bwana  WILIAM MDAJILE wa kata ya ngh,ambi alichaguliwa kuwa makamu mwenyekiti wa  halmashauri hiyo ,  Donati nghwezi diwani wa kata ya masa alichaguliwa kuwa mwenyekiti  wa kamati ya huduma za uchumi,kamati ya mazingira alichagiliwa bwana JOCTAN CHELIGA, kamati ya huduma za jamii Willim Madanya, na kamati ya ukimwi wilam Mdajile, kamati ya maadili  bwana Richard Maponda.

Mwenyekiti wa  halmashauri hiyo alimuomba mkurugenzi mtendaji  wa  halimashauri hiyo kufanya haraka kuitisha kikao kingine cha madiwani ili waweze kupitisha mipango ya mwaka ujao  wa fedha.
                                Mwisho.

Na  noel Stephen Mpwapwa

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya mpwapwa mkoani dodoma wamezikataa agenda za vikao vya baraza hilo kwa madai ya agenda hizo kuwa  zimekosewa kuandaliwa na watendaji wa halmashauri  ya mpwapwa

Hali hiyo imejitokeza  mwishoni  mwa  wiki  katika  kikao cha baraza la madiwani wilayani mpwapwa  mala baada tu ya mwenyekiti wa halmashauri hiyo kufungua kikao   na kuwataka madiwani hao kuweza kupitisha  agenda za  kikao  ndipo diwani  wa kata ya kimagai bwana MATURUH   KUCHELA  kuomba muuongozo wa mwenyekiti   juu  ya uandaaji wa  wa taarifa ya kikao cha mwisho  wa mwaka kuwa agenda zilizo andaliwa zilikuwa zimekosewa.

Bwana kuchela alidai kuwa kwa mujibu wa kanuni za halmashauri  ya wilaya ya mpwapwa inamtaka  mkurungenzi kuwapatia  madiwani kablasha  siku  saba kabla ya  kikao kufanyika lakini hilo halitekelezwi  na kuto tilia mkazo swala hilo.

 Alisema madiwani  wa halmashauri hiyo makalasha wanaya patia ndani ya kiako  kitu walicho sema kuwa ni njanja ya watendaji ili kuwa rubuni washidwe kuhoji mambo ya utendaji kiundani.

Adha alisema kuwa  mbali na siku saba  lakini  walimuomba mkurugenzi wa halmashauri hiyo pamaja na madiwanai wa halmashauri walikubaliana kuwa  madiwana watakuwa wanapata  makablasha  siku moja  kabla ya kikao’’ nalo hilo limeshidwa kutekelezaeka  hi vyo kwa mujibu wa kanuni hii mwenyekiti naomaba kikao kiairishwe  aliomba  Kuchela ’’

Kwa upande wake diwani wa kata ya chipogolo  bwana  RAPHEL TEMALUJE aliomba  mwenye kiti kuweza kuruhusu kuzijadili agenda  ambazo hazikukosewa  amabazo kati aya agenda  kumi na nne ni agenda tatu tu ndizo hazikukosewa na zilioweza kujadiliwa na kikao hicho .

MWENYEKITI  wa hal;mashauri hiyo bwana ALEXENDER  NYAULINGO   aliweza kuwahoji madiwani kama wanao afikana  na kuahirishwa kwa kikao hicho lakini  madiwani hao wote kwa poamoja walikubaliana kuto kizipisha agenda za kiako hicho kuwa zimekosewa kandaliwa.

Pia madiwani hao walidai kuwa   kikao hicho kilikuwa ni cha  kumaliza mwaka hivyo zilitakiwa   kandaliwa taarifa za  robo zote nne kitu ambacho hakikufanyika katika  kikao hicho na ziliandaliwa taarifa za robo moja tu   kitu ambacho madiwani walidai watashidwa kuhoji mapato na matumizi  kwa mwaka wa a fedha ulio pita .

Kuhusina na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo bwana Fanuel SENGE  aliwaomba madiwanai kupitisha agenda hizo kwa madai kuwa alishidwa kanadaa kablasha la mwaka mzima kutokana na kuwa litakuwa kubwa sana na madiwani watashidwa kupata muda  wa kuya pitaia  mambo yote yaliyo kuwemo ndani ya kablasha  hilo.

Agenda zilikukubaliwa  kujadiliwa na madiwanai hao zilikuwa na  tatua amabazo zilikuwa nai  kufungua kikao , kufanya uchaguzi wa kamati za kudumu za madiwani  na agenada ya kufunga kikao.

 Katika  uchaguzi    bwana  WILIAM MDAJILE wa kata ya ngh,ambi alichaguliwa kuwa makamu mwenyekiti wa  halmashauri hiyo ,  Donati nghwezi diwani wa kata ya masa alichaguliwa kuwa mwenyekiti  wa kamati ya huduma za uchumi,kamati ya mazingira alichagiliwa bwana JOCTAN CHELIGA, kamati ya huduma za jamii Willim Madanya, na kamati ya ukimwi wilam Mdajile, kamati ya maadili  bwana Richard Maponda.

Mwenyekiti wa  halmashauri hiyo alimuomba mkurugenzi mtendaji  wa  halimashauri hiyo kufanya haraka kuitisha kikao kingine cha madiwani ili waweze kupitisha mipango ya mwaka ujao  wa fedha.
                                Mwisho.





















Comments

Popular posts from this blog

KIZIGO AWAPONGEZA RUWASA,AKERWA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,AWATAJA MADIWANI.

HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA

DC KIZIGO ATOA MAAGIZO KWA KWA MAAFISA ELIMU KUKABILIANA NA UKATILI MASHULENI.