Posts

Showing posts from December, 2020

TAKUKURU WAJA NA MBINU MPYA ZA MAPAMBANO YA RUSHWA.

Image
      Mpwapwa Uongozi wa Kata ya Mima na mkuu wa TAKUKURU WA pili kulia wakiwa katika mkutano wa kusikiliza kero za wananchi  katika kata ya Mima. WANANCHI wa kata ya Mima mkoa wa Dodoma wameipongeza Tasisi   ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU wilayani Mpwapwa   kwa kuanzisha mpango   wa kuwafuata wananchi katika   maeneo yao   na kusikiliza kero zao zinaohusiana na masuala ya Rushwa na Utawala bora. Mmmoja wa wananchi   wa kata hiyo bwana Mathias Cosmas ametoa pongezi kwa uongozi wa TAKUKURU wilayani hapa  katika mkutano wa kusikiliza kero za wananchi katika kta ya Mima. Bwana Cosmas amesema mara nyingi   wananchi wanakuwa nakero zao   za kuhusiana na uongozi rushwa na utawala bora lakini wanashidwa kuzitoa kutokana na   umbali   au kuto kujua taratibu   za njisi ya kuwasilisha malalamiko hayo. Bwana Mathias amedai kuwa   hatua hiyo itasaidaia Tasisi kupata taarifa nyingi kwa wakati na kuzitatua   papohapo   kusaidia kuokoa pesa ya serikali. “Hata jina lenyewe lin
Image
MPWAPWA Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Mpwapwa Bi Julieth Mtuy akiongea na madiwai hawapo pichani juu ya mada kuhusu Madhara ya Rushwa.  M KUU wa Tasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa wilaya Mpwapwa biJulieth Mtuy amewataka Madiwani wapya kuhakikisha   wanasimamia miradi ya Maendeleo kwenye Kata zao ili kuweza kuharakisha Maendeleo ya Mpwapwa. Bi Mtuy ameyasema hayo alipokuwa akiwasilisha mada kwenye kikao cha Madiwani Jun ya athari za Rushwa katika Maendeleo ya mahari husika.  "Msimamie mapato yanayotokana na miradi iliyopo katika maeneo yenu, Kama vile miradi ya maji ili fedha zinazopatikana zilete tija na kuwainua wananchi kiuchumi"aliongea No Mtuy  Aidha amesema kuwa kwa sasa madiwani hao wameaminiwa na wananchi pamoja na chama hivyo wanawajibu wa kutimiza majukumu yao kwa kuzingatia  sheria kanuni na maadili ya uongozi wao.  Pia amesema Ofisi yake haitavumilia  vitendo vyote vya  vinavyo ashiria Rushwa katika miradi na pesa za umma  alisema watazungukia kila kata kuongea n