Posts

Showing posts from 2014

WAHUKUMIWA IAKA 20 JELA KWA UNYANG'ANYI

Na Stephen Noel- mpwapwa   MAHAKAMA   ya wilaya   ya mpwapwa mkoni DODOMA imewahukumu   kifungo cha miaka   ishirini gerezani vijana   watatu wakazi wa Iyoma   wilayani hapa   ambao ni   Ivani Chisomi (36) na Mangaisa   Madelemu(30)   na   Lameck Chikoti28. Mahakama hiyo iwatia hatiani   vijana   hao baada ya kupataikana na hatia ya unayanaganyi wa kutumia siraha ambapo    waliiba mifugo   aina ya ng’ombe sita    mali ya Mayanda Chikoti.   Mahakama hiyo ilisema kabala hawajaiba waliweza kumteka   mwenye mali na kupiga na kumjeruhi   na kumweka chini ya ulinzi kwa zaidi ya masaa 9 huku akiwa amefungwa kamaba   miguu na mikono. Hakimu mkazi mfawidhi   wa mahakama ya wilaya hiyo Jemsi Kareyemaha   alisema   washitakiwa wote watatu   walifanya   kosa   hilo kinyume na viungu 285 na 286 ya kanuni ya adahabu   sura 16 iliyofanyiwa malejeo   mwaka 2002. “Washitakiwa wote wattu wamepatikana na   hatia   kwa mujibu wa kifungu 286 cha kanuni ya adhabu   no 20 iliyofanyiwa malelej

RAISI AZITKA HALMASHAURI KUTUMIA VIZURI PESA ZA MFUKO WA BARABARA

Na Stephen noel- mpwapwa   RAISI wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania   Dkt Jakaya Mlisho Kikwete   amezitaka halamashauari zote nchini kuweza     kutunza na kutumia vizuri fedha za ruzuku za barabara   zinazotolewa na serikali ili ziweze   kuondoa kero za barabara   vijijini. Raisi Jakaya aliyasema hayo katika siku yake ya pili ya ziara mkoani Dodoma wilayani mpwapwa alipokuwa   akiongea na wananchi wa mpwapwa katika viwanja vya shule ya msingi   Mtejeta. Dkt    Jakaya alisema kuwa   serikali imewekeza pesa   nyingi sana katika   ruzuku ya barabara kwa serikali   lakini pesa hizo zimeonekana   kuto kuondoa kero ya barabara vijijini   kutoka na   baadhi wa watendaji wa halmashauri za   wilaya kushidwa kuzitumia pesa hizo kwa malengo yaliyo kusudiwa   bali hujinufaisha wao wenyewe. Alisema lengo la serikali ni   kuweza   kuunganisha   barabara za vijijini   ili sehemu nyingi za vijijini ziweze kufika kirahisi na kurahisha maisha ya watu na kukuza uchumi kwa kupata   faida k

WANASISA NA WATUMISHI WAASWA KUSHIRKIANA KUILETEA JAMII MAENDELEO ENDELEVU.

Na   noel Stephen   mpwapwa. WATENDAJI   na wanasiasa wilayani mpwapwa wanatakiwa   kushirikiana katika kuiletea wilaya hiyo maendeleo endelevu. LAI hiyo imetolewa na katibu Tawala wa wilaya hiyo   Athanasia Kabuyanja   alipokuwa akiongea na waaandishi wa habari ofisi kwake mapema wiki    kwa   mahojianao maluumu. Kabuyanja   aliwataka   watumishi   na watendaji wa serikali kuweza   kushirikiana   katika kuiletea wilaya hiyo   maendeleo endelevu juu    juu kilimo, utunzaji mazingira, utawala bora na huduma za jamii ili mtanzania aifurahie nchi yake na anufaike na kodi anazo lipa. ALISEMA kwa wilaya ya mpwapwa ni miongoni mwa wilaya amabazo ziliweza    kuingia   katika migogoro ya kiutendaji kati wa watumishi na wanasiasa   kwa mwaka 2013 kitu alicho kisema kuwa   kwa sasa hali hiyo imetulia      na ushirikiano umemalika. Aidha   alisema   “kunapokuwa na migogoro    katika halmashauri yoyote ile kuna kuwa hakuna ufanisi wa kazi hivyo watu   wanabaki kutatatua migogoro tu

UHABA WA MAJI MPWAPWA

  Na noel Stephen –mpwapwa Kuna uwezekano mkubwa   wa kuzuka kwa magonjwa milipuka   kama kipundupindu na magonjwa ya   kuambukizwa katika   tasisi nyingi   zikiwemo vyuo, shule za sekondari   na maeneo ya mikusanyiko ya watu wilayani mpwapwa mkoani Dodoma kutokana na kukosa   huduma yamaji kwa siku tatu mfululizo sasa. AKIONGEA   na mwandishi wetu wilayani hapo   kaimu mkuu wa shule ya sekondari   ya mpwapwa Sisti Karia   alisema kuwa katika shule yake kumekuwako na hali mbaya   kiafya hasa maeneo ya vyooni   kutokana na kukkosekana kwa maji   katika shule hiyo.   Alisema kwa sasa shule hiyo imeamua kuendesha shule   kwa maji ya kununua katika matoroli    ambapo kwa dumu wananunua   sh 500/=hadi   1500/=kwa dumu la lita ishirini ambapo alisema napo hali hiyo haitoshelezi   mahitaji   ya shule kwa wanafunzi kuoshea vyombo,kuoga na kuendea vyooni”kwa sasa tuna hali mbaya sana hasa vyooni   maana maji haya yanatosheleza kupikia chakula tu hata maji ya kunywa yanakosekana   sa