KIJIJI CHAKOSA HUDUMA ZA MAJI KWA MIAKA KUMI.

 Na  noel Stephen mpwapwa
 Imeelezwa  kuwa  wakina mama wa  kijiji cha  iyoma hutembea mda wa masaa mawili hadi matatu kwenda kutafuta maji  ya matumizi mbalimbali ya nyumbani.
Lai hiyo imetolewa na wanakiji hao kwenye mkutano wa hadahara  na mkuu wa wilaya hiyo  Christopher Kangoye alipokuwa akiongea na wanakijiji hao  juu uzalishaji wa kipato na utunzaji wa mazingira wilayani mpwapwa.
Wanakijiji hao walisemakuwa maendeleo yote hapa  nchini katika sehemu mbalimbali hutegemea nishati ya  maji na umeme  kitu walichokisma kuwa kijiji hicho hakitaweza kupata maendeleo yale yanayotakikakana kutokana  na nguvukazi nyingi na wazalishaji wakubwa ambao nia akina mama wana tumiamuda mwingi katika kutafuta maji  ambapo huwalazimu kila siku  kuamuaka saa kumi za alfajili kwenda kutafuta maji  kituwalicho kisemakuwa  kina hatarisha  maisha yao na y a watoto wao wa kike,
Akiongea mmoja wa wanakijiji hao JACKSON NOAH alisema  kuwa wana kijiji hao  wanatumia maji amabayo si salamakwa afya za binadamu  ambapo kinacho wapelekea  kuumamagojwa ya matumbo  mala klwa mala nawatoto chini yamiaka miitano wanakubwana   ugojwa wa kutokwana mapele mwilini kutokana  na  uchafu  wa kushidwa kuoga vizuri .
AIDHA ZAINA   BAKARI alisema kuwa kjiji hicho kwa miaka kumisasa  kinatumia  maji ya kwenye madibwi kwamuda wa  miaka kumi sasa na uzalishajiumepungua kijiji hapo kutokana na akina mama wengi kujikita kwenye  shughuli za kutafuta maji badala ya  kwenda kwenye uzalishaji.
Mkuu wa wilaya hiyoalisema kwa mwaka huu wa fedha  kijijihicho kitapata huduma  za maji zahuduma zaumeme ambao huzambazwa na  kampuniya uzamabazajiumeme vijijini   MCC.

Comments

Popular posts from this blog

KIZIGO AWAPONGEZA RUWASA,AKERWA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,AWATAJA MADIWANI.

HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA

DC KIZIGO ATOA MAAGIZO KWA KWA MAAFISA ELIMU KUKABILIANA NA UKATILI MASHULENI.