Posts

Showing posts from October, 2019
Image
Mwl.Augusta Lupokela kaimu mkurugenzi msaidizi wa mafunzo ya ualimu ,Wizara ya Elimu Sayansi na Tecknolojia. MBUNGE wa Jimbo la Mpwapwa   Mhe George Lubeleje (Seniour MP) ameiomba serikali kuweza   kutenga Bajeti ya kutosha    katika sekta ya michezo   nchini ili   kuwezesha kuwezesha tanzania kufanya vizuri katika nyanja ya michezo   katika soko la ndani na nje ya michezo na ulimwenguni. Mhe Lubeleje aliyasema hayo   juzi alipokuwa akifungua Kongamano la Michezo   la vyuo vya ualimu kanda ya kanda linalofanyika katiia chuao cha ualimu   kilichopo Mpwapwa Mkoani Dodoma. Mhe Lubeleje alisema kwa sasa   nchi ya Tanzania inashidwa kufanya vizuri katika nyanja za michezo kutokana na   serikali kushidwa kuwekeza vya kutosha katika sekta hii ya michezo   ambayo inaoneka kukua kwa kasi   hapa nchini. Aidha amesema kwa sasa soko la michezo hapa nchini limeonekana kushika kasi kubwa na   kuwajumuisha vijana wengi na hivyo kwa kuona umuhimu huo serikali ya awamu ya tano imeamu