MADAKTARI WALALA WODI ZA WAGONJWA MPWAPWA.

 Na noel Stephen mpwapwa
 Baadhi ya watumishi wa idara  ya afya wilayani mpwapwa  walio ajiliwa  mwezi mei mwaka ambao ni manesi na matabibu  wanalala kwenye wadi za wagonjwa kwa muda wa miezi mitatu  kutokana na halmashauri hiyo kuto kuwapatia nyumba  na hela za kujikimu.

 Kitendo hicho cha aibu na cha uzalil;ishaji kwa wataalamu hao   ambacho kimetokea kwa muda wa miezi mitatu sasa bila  halmashauri hiyo kuto kutoa majibu yeyete juu ya  suala hilo.

 Wakiongea  na mwandishi wetu  wilayani hapo baadhi ya watumishi hao wamesema kuwa  btangu waajiliwe  mwezi mai  mwaka huu halimashauri hiyo iliwaonyesha  wadi  za wagonjwa kuwa walae kwa muda  wakati wanatafutiwa   uataratibu  wa malazi lakini mpaka sasa wamekuwa wakiendelea kulala wodini hapo  kama wagonjwa  bila mkurugenzi huo bila kuchukua hatua.

Aidha wanmedai kuwa  lalamiko hili wamelipeleka mpaka kwa mkurugenzi mtendaji wa halimashauri hiyo lakini  wamekuwa wakipigwa danadana  bila mafanikio,

Comments

Popular posts from this blog

KIZIGO AWAPONGEZA RUWASA,AKERWA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,AWATAJA MADIWANI.

HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA

DC KIZIGO ATOA MAAGIZO KWA KWA MAAFISA ELIMU KUKABILIANA NA UKATILI MASHULENI.