WAMUZI WA RAIS KUBADILISHA BAADHI YA WATENDAJI WABOVU.

NDugu zangu WATANZANIA wezangu mimi binfsi mimi binfsi napenda kumpongeza rais wa Jamhuri ya muungano wa TANZNIA kkwa uwamuzi alio uchukua kuwabadilisha baadhi ya watendaji wabovu kwenye wizara mbalimbali,lakini je ni muda muafaka kwa raisi kulifanya hili,au ndo aagundua hili,au alikuwa bado mpaka apigiwe kelele na wananchi, je katika hili RAISI KUFUATA MISINGI YA UTAWALA BORA. naomba maoni yako asante.

Comments

Popular posts from this blog

KIZIGO AWAPONGEZA RUWASA,AKERWA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,AWATAJA MADIWANI.

HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA

DC KIZIGO ATOA MAAGIZO KWA KWA MAAFISA ELIMU KUKABILIANA NA UKATILI MASHULENI.