AOKOTWA IKIWA AMEFARIKI KORONGONI



Na noel Stephen Mpwapwa.

Mama mmoja aliweza kutambulika kwa jina la Agare Kidumu  (26) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mtandio wa nguo aliyo kuwa amejifunga  baada kumunguza mumewe kwa maji ya moto na kumunguza sehemu mbalimbali  za mwili

Polisi wilayani mpwapwa wamethibitisha  kutokea  kwa tukio hilo na wamedai kuwa wanaendelea na uchunguzi ili kuweza kujua chanzo cha  mama huyo mpaka kujinyonga.

Mashuhuda wa tukio hilo  wamedai kuwa  mapaka tukio Agare  linatokea  Agare alikuwa kama amechanaganyikiwa.
.
Aidha wamesema kuwa  wiki mbili zilizopita  Agare alionyesha dalili za kuchanganyikiwa ambapo alijaribu kutaka kujidhuru kwa kutaka kuchichoma na kisu  tumboni  lakini aliokolewa na  majiarani na alipona hospitalini  ‘inavyo onekana  kuwa huyu marehemu  alikuwa na roho ya ktka kujidhuru mda mrefu maa na amewahi kujaribu kutaka kijidhuru mala tatu lakini alikuwa anaokolewa na watu  hi indo dhamira  yake imetia kwa kujidhuru mpaka amefanikiwa kujitoa roho.

Akiongea  na mwananchi communication   akiwa wodini akiuguza maeraha ya maji ya moto mume wa marehemu Paskali Samila 35 alidai kuwa siku ya tukio hiyo aliyo mwagiwa maji ya moja  alisema’’ Siku ya tukio nilikuwa katika shughuli zangu za kila siku hivyo nilchelewa kidogo  kurudi nyumbani  na kumkuta  mkewangu amelala kwenye kochi  nilipo muliza mbona  mpaka muda huo jalala alinijibu kuwa sina usingizi  na alinitaka nikaoge lakini nilimwambia nitaoga kesho nilipo maliza kula  nilimuaga ili niende nikalale,na alinikatalia  kwa madai kuwa nitamwachaje peke yake  hivyo kwa kumjua hali yake  ilinibidi  nimsikilize nikaa kwenye kochi kwa mbali usingizi ulianzakunipitia .alieleza na kuongeza  Samila.

Aidha aliendelea kuelezea kuwa ‘’ baada ya  usingizi kunipit niliamshwa na mkewangu  huku akiniuluza kuwa  unaijua dunia  mimi nikajibu mbona sikuelewi yeye alinijibu kuwa dunia sasa ndio hii na haina huruma,akanimwagia  maji yale alikuwa ameniandalia ili nioge kumbe nilipo kataa  kuoga hakuyatoa  motoni na hali hii baada ya hapo  nilipiga kelele za kuomba msaada  na ndipo majirani wakaja kunipa msada   na kumkata mke wangu  na kumuweka chini ya ulinzi.

Na alichukuliwa mpaka kiyuo cha polisi mi  nikiwa  hospitalini  yeye bado alikuwa polisi kwa muda wa siku mbili   lipo muachia ndipo alipo  jinyonga kwa kutumia mtandio wa nguo yake alikuwa nayo na kajinyongea jumbani kwa mama yake ndani chimbani kwa kufunga mtandio kwenye ngizo ya nyumba,

Mpaka sas  Samila bado yupo  hosptali ya benjamini mkapa mpwapwa  na alisema kuwa angepona alikuwa na lengo la kumsamehe mke na kuendelea na maisha yao ya kila siku na sasa hali yake inaendelea vizuri.

Marehemu ameacha watoti watatu na msoja mchanga wa miezi nane,

Comments

Popular posts from this blog

DC KIZIGO ATOA MAAGIZO KWA KWA MAAFISA ELIMU KUKABILIANA NA UKATILI MASHULENI.

HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA

KIZIGO AWAPONGEZA RUWASA,AKERWA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,AWATAJA MADIWANI.