Wananchi wa NDUGA kata ya Nduga wakionyeha Mabango juu wA mgogoro Wa Ardhi katika kijiji hicho.
Mkutano ukiendelea katika Mabonde ya mashamba katika kijiji cha Nduga.
Diwani wa kata ya Mlembule Wilson Mgunga Akifafanua jambo kwa wanchi wa kata hiyo.
Bwana Sudi akitoa utetezi wake kwa wanchi wa kijiji cha Nduga.
HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA
Na Stephen –noel –mpwapwa. WANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameonyesha wasiwasi wao juu ya vitu vya kihistoria ya wilaya hiyo vilioachwa na wakoloni iko hatarini kutoweka kutokana na sehemu hizo za kihistoria kuto kuhifadhiwa na kulidwa na mamlaka husika. Wakiongea na waandishi wa habari mmoja wa wazee wakongwe wa mji huo bwana Abinoo Mathiasi mkazi wa hazina alisema kuwa miongoni mwa historia hizo ambazo ni njia kuu ya watumwa iliyokuwa ikotokea bara yaani mikoa ya Kigoma na Tabora na kuelekea Bagamoyo na Zanzibar iliyokuwa ikiongozwa na Said Majid TippTip na Abushir ambayo kwa sasa iko mbioni kufutika Mti wa mlumbulumbu ambao kwa sasa umesha anguka na wanachi wameupasua kuni ambapo palichomwa kanisa la Anglikana la kwanza na mfanya biashara ya watumwa mwarabu Abushir kwa vile watu wa eneo hi...
Comments
Post a Comment