KIKOSI CHA USALAM CHA WANAWAKE CAANZISHA UPYA
+ Toa maoni sasa Chapisha Baruapepe Panga upya Kambi ya kikosi cha polisi cha huduma za haraka ambacho kinafanya kazi pamoja na jeshi kupambana na ugaidi na kutoa usalama wa hali ya juu kwa maofisa nchini Somalia kilifunguliwa tena katika wilaya ya Wardhigley huko Mogadishu wiki iliyopita. Ofisa wa polisi wa serikali ya Somalia akiweka ulinzi wakati msafara wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ukipita Mogadishu mwezi tarehe 23, Februari 2012. [Na Mustafa Abdi/ AFP) Makala zinazohusiana Umoja wa Afrika wapitisha mkakati mpya wa kupambana na al-Shabaab Wasanii wa Somalia warejea Mogadishu baada ya kutokuwepo kwa muda mrefu. Serikali ya Somalia yaikaribisha ofisi ya UN mjini Mogadishu Kitengo cha The Darawish asili yake kilianzishwa na Jenerali Mohamed Siad Barre miaka ya 70 kama kikosi cha taifa cha jeshi la polisi; kikaacha kufanya shughuli zake wakati wa vita vya wenyewe kwa wenye...