Posts

Showing posts with the label N

WANANCHI WATAKA KUELIMISHWA KABLA YA MAONI YA KATIBA.

Na  Noel  Stephen  -mpwapwa 19,05,2012  Wanachi   jimbo la kibakwe wialayani mpwapwa  wameomba  swala  la ushiriki na ushirikishwaji  wa wananchi katika mchako wakatiba  lazima upewe kipaumbele ili kuweza kupata katiba yenye matakwa  ya weanachi wote hapa nchini. Wito  huo umetolewa  jana na wananchi wa jimbo la kibakwe  wilayanoi mpwapwa katika mdahalo wa katiba  ulio fanyika  katika ukumbi wa muleba , na uliandaliwa na mtandao wa mashiriaka yasiyo kuwa ya kiserikali wilayani mpwapwa NGOMNET(Non governmental oganazationMpwapwa nert work)  Wakitoa maoni yao katika mdahalo huo wananchi hao walisema kuwa  mchakato wa kuwa na katiba mpya  ni mkubwa na  tena umechelewa  mno  hivyo  vingozi wanatakiwa  kutoa kwanza elimu ya uraia  kuhusu haki ya binadamu na katiba ya nchi  ili kujenga Taifa lenye kuwajibika na kujua haki na wajibu wao kwa serikali yao...