Posts

Showing posts with the label NA STEPHEN NOEL

MPWAPWA KUWA JAGWA BAADA YA MIAKA KUMI.,WATAFITI

NA STEPHEN NOEL MPWAPWA Imeelezwa kuwa baada ya   miaka kumi    zaidi    ya   wakazi wapatao wapatao 150,000 laki moja na elfu hamsini wa kazi wa wilaya ya mpwapwa na kogwa wataokosa huduma za maji kabisa   kutokana na uharibifu wa mazingira unaoendelea katika   vyanzo ya maji vya milima kiboliani na kwa kwamdyanga.   Hayo yamebainishwa na watafiti wa huduma za jamii   za kituo cha utafiti na mifugo   cha   Tanzania kilichopo wilayani mpwapwa   Mkoa wa dodoma   kijulikanacho kama LITI – MPWAPWA.   Akiongea na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya mpwapwa amabae kwa sasa amehamia wilaya ya   Karagwe Bi Darling Lwegasila   mkuu wa chuo   cha utafiti cha mpwapwa   Dk,   Devid Sindalo   alisema kuwa kutokana   shughuli za kibinadamu   zinazo endelea katika vyanzo ya   maji vilivyoko kwenye milima   kiboliani    Wilaya ya mpwapwa   wakazi wake watakosa maji ...