Posts

Showing posts with the label STEHEN NOEL NA OMANA GOUTH

ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUPIGWA NA TEMBOOMANA

Image
Na OMANA GOUTH   MPWAPWA Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Baraka mlowe (25) mkazi wa kijiji cha pwaga kitogoji cha ikulu wilayani mpwapwa mkoa wa Dodoma amejeruhiwa na tembo na kupasuliwa tumbo hadi utumbo kuwa nje ya tumbo lake. Akizungumza na waandishi wa habari   kaka yake   majeruhi bwana Geofrey Mlowe alisema kuwa siku ya tukio majeruhi alikuwa   na nyumbani    na alisikia kuwa tembo wameingia mashambani   na wanaharibu mazao na ndipo alipo enda kuangalia hali ya shamba na   kuwafukuza wanyama hao,   Alisema kuwa ndipo   alifika mashambani alikuta tembo hao na alikuta watu wengi wakiwa wana shangaa   tembo hao lakini yeye alitaka kuwashangaa kwa karibu ndipo tembo huyo   alimrukia   na   kumwangusha chini na kuanza kumkanyaga na alimchoma na mkonga   na ndipo alimtoboa sehemu za tumboni na kumtoa utumbo ukiwa nje. “Alipo kuwa amekamatwa na   tembo huyo watu wakapiga kelele na   za kuomba msaa...