Krisopher Kangoye aliyekuwa mkuu wa wilaya ya mpwapwa aliye hamia katika wilaya ya Arusha aliweza kujitahidi kupambana na uharibifu wa mazingira mpwapwa. M
Na Stephen –noel –mpwapwa. WANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameonyesha wasiwasi wao juu ya vitu vya kihistoria ya wilaya hiyo vilioachwa na wakoloni iko hatarini kutoweka kutokana na sehemu hizo za kihistoria kuto kuhifadhiwa na kulidwa na mamlaka husika. Wakiongea na waandishi wa habari mmoja wa wazee wakongwe wa mji huo bwana Abinoo Mathiasi mkazi wa hazina alisema kuwa miongoni mwa historia hizo ambazo ni njia kuu ya watumwa iliyokuwa ikotokea bara yaani mikoa ya Kigoma na Tabora na kuelekea Bagamoyo na Zanzibar iliyokuwa ikiongozwa na Said Majid TippTip na Abushir ambayo kwa sasa iko mbioni kufutika Mti wa mlumbulumbu ambao kwa sasa umesha anguka na wanachi wameupasua kuni ambapo palichomwa kanisa la Anglikana la kwanza na mfanya biashara ya watumwa mwarabu Abushir kwa vile watu wa eneo hi...
Jina MPWAPWA ni MHAMVWA ambalo lilikuwa halisi kwa wenyeji WAGOGO na Korongo linalotokea KIkombo kuelekea hadi sehemu inayoitwa KWAMSHANGO, Wajerumani walipo ingia katika Nchi hii walishidwa kutamka jina MHAMVA(mamva) wakaita MPAPUA Waimgeleza nao katika butawala wao walisdhidwa kutamka neno MPAPUA Wakaita MPWAPWA. Wilaya ya mpwapwa ni miongoni wa mwa Wilaya 6sita za mkoa wa DODOMA na inakadiliwa kuwa na wakazi wapatao 296,966, wenye shughuli za kiuchumi za Kilimo cha Mtama Mahindi , Karanga na ALIZETI, Ufugaji kama NG,OMBE za kienyeji Mbuzi Kondoo, na KUKU ,Ambapo wakazi wake ni wa makabila ya WAGOGO,WAHEHE,WASAGARA,WAKAGURU,na WABENA . Mpwapwa ipo umbali wa...
Comments
Post a Comment