CHAMA   chama cha walimu   wilayani mpwapwa mkoani DODOMA   kimepata   viongozi   wake wapya   watakao kiongoza chama hicho kwa   muda wa miaka mitano   toka sasa.           Viongozi hao waliopatikana kupitia   kuchaguliwa na mkutano mkuu wa chama hicho,   uliofanyika jana katika ukumbi wa   chuo cha walimu mpwapwa mjini hapa .   Akifungua   mktano huo mkuu wa wilaya ya mpwapwa   Dr Jasmini Tiisekwa    alisema ni vyema walimu hao wakatumia   haki yao   ya kikatiba,   kuwachagua   viongozi   wao   ambao   wataweza kushirikiana   katika   harakati za kumkomboa   mwalimu na katika kuweza kujiletea maendeleo endelevu.   Aidha   Dr, Tiisekwa   aliwaasa viongozi     wa chama cha walimu hao kuweza kusimamia haki na wajibu wa wanachama wao   ili kuweza   kupunguza hali ya kutishia kwa kutoweka kwa amani   hapa nchini   kwa mada...