Posts

Image
MCL The Citizen Mwanaspoti Nation Monitor Digital Paper East Africa News Ingia Mwanzo Contacts Email Wed 30 May 5:42AM   Mwanzo Habari Biashara Michezo Burudani Ajira Uchambuzi Jumapili Makala Picha Tangaza Kipanya RSS Home Habari Habari za Kimataifa Jaribio la kumwondoa Papa lanukia Vatican BOOKMARK THIS PAGE Jaribio la kumwondoa Papa lanukia Vatican  Send to a friend Tuesday, 29 May 2012 21:11 0 digg 0 digg VATICAN, Rome TAARIFA za kuvuja kwa nyatraka za siri kutoka ofisi ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani zimeibua taswira mpya, wataalamu wakieleza kuwa zinaambatana na mchakato wa kuanza kumuandaa kiongozi mpya wa Kanisa hilo, atakayechukua nafasi ya kiongozi wa sasa, Papa Benedict XVI. Kwa mujibu wa wataalamu wa masuala ya kanisa hilo m...

MAHAKAMA ZADAI KUINGILIWA NA SERIKALI KIUTENDAJI

Omana Gouth na Noel   Stephen   Mpwapwa Imeelezwakuwa   katika utendaji   wa kazi wa Mahakama za Jamahuri wa Muungano wa Tanzania haziko huru kama inavyo ainishwa katika Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.   Hayo yamebainishwa   na wajumbe wa mdahalo wa katiba uliofanyika   katika Ukumbi wa ccm Wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma ulioendeshwa na Mtandao wa Asasi za   Kiraia NGOMNET Mpwapwa. Akichanngia mada katika mdahalo huo   mmoja wa washiriki Bwana JEMSI KAREIMAHA   hakimu mfawidhi wa mahakama   wa wilaya ya Mpwapwa   alisema katika utendaji wa   kazi katika mihimili   mitatu ya dola   ambayo ni Serikali,Bunge na Mahakama kunaonekana kuwa serikali inakuwa na madaraka makubwa kuzidi mihimili mingine katika utendaji   kazi wake kutokana na muhimili mmoja kuutegemea muhimili wa mahakama kwa kuwezeshwa   kifedha na vitendea kazi. Aidha Bwana Kareimaha alidai kuwa katika utendaji wa kazi wa kutoa...

SERIKALI YAHITAJIKA KUPUNGUZA UTEGEMEZI

NA NOEL STEPHEN MPWAPWA   Imebainishwa kuwa serikali bado haiko makini katika   kulifikia lengo la sita la mileniamu katika swala zima la kupambana na ugonjwa wa kifua kikuu na Ukimwi kwa kuendelea kutegemea misaada kutoka serikali ya watu wa kimarekani.   Hayo yameibuliwa na wajumbe wa mkutano    wa kamati ya kuratibu shughuli za huduma shirikishi za kifua kikuu na   na ukimwi Wilayani mpwapwa mkoani Dodoma kwenye kikao   cha kutadhimini   huduma hizo hapa   wilayani kilicho fanyika katika ukumbi wa Afya   jana. Akieleza mmmoja wa wajumbe   alisema katika   TANZANIA lazima itambue kuwa umakini wa utawala bora na uwajibikaji ni kutekeleza malengo waliyo jiwekea   au waliyo iridhia katika mikataba mbalimbali ya kimataifa   ikiwemo kutekeleza   malengo ya   mileniamu   likiwepo   lengo la sita la kupambana   na kifua kikukuu, UKIMWI, na Malaria ili kuweza   kuimarisha maisha bora na ut...

WANANCHI WATAKA KUELIMISHWA KABLA YA MAONI YA KATIBA.

Na  Noel  Stephen  -mpwapwa 19,05,2012  Wanachi   jimbo la kibakwe wialayani mpwapwa  wameomba  swala  la ushiriki na ushirikishwaji  wa wananchi katika mchako wakatiba  lazima upewe kipaumbele ili kuweza kupata katiba yenye matakwa  ya weanachi wote hapa nchini. Wito  huo umetolewa  jana na wananchi wa jimbo la kibakwe  wilayanoi mpwapwa katika mdahalo wa katiba  ulio fanyika  katika ukumbi wa muleba , na uliandaliwa na mtandao wa mashiriaka yasiyo kuwa ya kiserikali wilayani mpwapwa NGOMNET(Non governmental oganazationMpwapwa nert work)  Wakitoa maoni yao katika mdahalo huo wananchi hao walisema kuwa  mchakato wa kuwa na katiba mpya  ni mkubwa na  tena umechelewa  mno  hivyo  vingozi wanatakiwa  kutoa kwanza elimu ya uraia  kuhusu haki ya binadamu na katiba ya nchi  ili kujenga Taifa lenye kuwajibika na kujua haki na wajibu wao kwa serikali yao...

MPWAPWA NA HUDUMA ZA JAMII.

Image
KANISA LA ROMAN KATHOLIC MPWAPWA. USAFIRI WA MPWAPWA.
Image
NGOMA ZA KABIAL LA KIGOGO. SELLO

siku ya familai duniani

Ndugu zangu watanzania wenzangu nawasilimu,nikiamini kuwa sote mwenyezi mungu katujalia uhai tele na wenye afya tele, pia wawapa pole kwa wote walio fikwa na kadhia zozote kwa leo, na wanao sherekea siku zao za kuzaliwa nawapongeza nigepenada tushirikishane Jambo moja leo tunasherekea siku za familia,kwanza tujiulize familia ni nini?, inaudwaje,?na ina uzuri gani na ina changamoto gani? kwenye jamii, familia nyingi zimejikuta ziKiingia kwenye matatizo kwa makusudi au bila makusudi jambo la muhimu ndani ya famila ni kuwasiliana,kupendana, kuheshimiana, na kila mmoja atimize wajibu wake ndani ya familia hakutakuwa na mifaarakano, tukumbuke maneno yasermayo"enyi wake waheshimuni waume zenu nananyi waume wapendeni wake zenu,enyi watoto waheshimuni wakubwa zenu ili siku zenu zipate kuwa NYINGI KATIKA NCHI UPEWAYO NA BWANA NA MUNGU WAKO"