Posts
MKINZANO WA SHERIA KIKWAZO UHARIBIFU MAZINGIRA MPWAPWA.
- Get link
- X
- Other Apps
Na Stephen Noel. mpwapwa . MKUU wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma bwana Jabir Shekimweri amesema mkinzano mkubwa uliopo kati ya sheria mama ya mazingira ya mwaka 2004 na sheria ndogo ya halmasahauri ya wilaya hiyo ni miongoni mwa sababu zinazo fifisha harakati za kupambana na uharibifu wa mazingira wilayani hapa. Shekimweri ameyasema hayo mjini hapa alipokuwa akifanya mahojiano maluum majira juu ya hakarakati na mkakati uliopo kwa wilaya ya mpwapwa juu ya uharibifu wa mazingira na matokeo yake. Shakimweri amesema kuwa sheria ya mama ya mazingira mwaka ya mwaka 2004 inayo mtaka mharibifu wamazingira anapo patikana na hatia anahukumiwa kifungo cha cha miezi sita hadi mika miwili jela au faini ya shilingi 50,000/= hadi million 50,000,000/= au vyote viwili kwa pamoja. Aidha amesema kuwa sheria ndogo ya halamasahauri hiyo ina...
ASKOFU KINYAIA AWAASA WATANZANIA.
- Get link
- X
- Other Apps
Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo kuu la Dodoma Mhasahamu askofu Beatus Kinyaia amewataka watanzania kuto kukubali kufa kizembe kwa kungangania mazoea ya kuto kupanda mazao yanayostahimili ukame katika kipondi hiki cha mabadiliko ya Tabia ya hali ya hewa. Askofu alizungumza hayo jana jumapili ya januari Mosi 2017wakati wa misa katika Kanisa la Bikira maria wa Fatima kanisa la hija katika Parikia ya Mpwapwa . Kinyaia amesema haridhishwi na tabia ya baadhi ya watanzania wengi kuendelea kung’ang’ania mazoea ya kuto kukabiliana na ushauri wa watalaam na maafisa kilimo kuwataka kupanda mazao yanayoweza kukomaa mapema na yanayoweza kustahimili ukame ili kuweza kupata tija ya kilimo chao Aidha Askofu Kinyaia alisema “siku za hivi karibuni mamlaka ya ya utabili wa hali ya hewa imetangaza kuwa katika kipindi hiki cha msimu wa mv...
Mpango wa PWP TASSAF MPWAPWA UTASAIDIAMAZINGIRA
- Get link
- X
- Other Apps
Imeelezwa kuwa shughuli za ajira muda zilizofanywa na walegwa wa mpango wa kaya maskini TASAF awamu ya tatu kama kutunza Misitu ya asili,uvunaji wa maji ya mvua, na utunzaji wa udongo,ikitumika inavyopaswa itaweza kuleta mabadiliko chanya kwa jamii na kuweza kujiletea maendeleo endelevu. Kauli hiyo ilitolewa na Mratibu wa Tassaf wa halmasahauri ya wilaya ya Mpwapwa Bwana Paskal Jeremia alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu tadhimini ya utekelezaji wa mpango wa ajira za muda zijulikanozo kama (PWP)kwa wanufaika wa mpango huo wilayani hapa Jeremia alisema rasilimali hizo kama ujengaji wa miundo mbinu ya kuvuna maji ya mvua, wa utunzaji wa misitu, na uhifadhi wa udongo ngazi ya jamii italeta mabadiliko kuwa mazuri zaidi na jamii kuweza kujiletea maendelea endelevu katika maeneo yao yanayoishi . Aidha ...
POLISI MPWAPWA YAKABILIWA NA UHABA VITENDEA KAZI.
- Get link
- X
- Other Apps
Na Stephen noel mpwapwa. JESHI la polisi wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma linakabiliwa na upungufu mkubwa wa vityendea kazi ikiwemo magari na pikipiki kitu kinachopelekea jeshi hilo kushidwa kuwahi katika matukio ya kiuharifu. Kauli hiyo ilitolewa jana na Mrakibu wa polisi bwana Paulo Ngonyani mkuu wa kitengo cha Intelinjesia mkoani Dodoma alipokuwa katika hafla ya kukabithiwa Pikipiki mbili zilizonunuliwa na wadau wa polisi wa wilayani Mpwapwa kwa lengo la kupambana na uharifu wilayani hapa. Bwana Ngonyani alisema katika jeshi la polisi limekuwa likilalamikiwa sana na wanajmii kuwa wamekuwa wakichelewa kufika katika matukio ya kiuharifu kutokana na kukabiliwa na chanagamoto kubwa ya ukosefu wa vitendea kazi kama vyombo vya usafiri,pamoja na mafuta Aidha Ngonyani alisema kwamba ili kuimarisha dhana ya polisi jamii wameamua kuwashirikisha wadau wa maendeleo katika wilaya husika...
- Get link
- X
- Other Apps
Imeelezwa kuwa shughuli za ajira muda zilizofanywa na walegwa wa mpango wa kaya maskini TASAF awamu ya tatu kama kutunza Misitu ya asili,uvunaji wa maji ya mvua, na utunzaji wa udongo,ikitumika inavyopaswa itaweza kuleta mabadiliko chanya kwa jamii na kuweza kujiletea maendeleo endelevu. Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa Tassaf wa halmasahauri ya wilaya ya Mpwapwa Bwana Paskal Jeremia alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu tadhimini ya utekelezaji wa mpango wa ajira za muda zijulikanozo kama (PWP)kwa wanufaika wa mpango huo wilayani hapa Jeremia amesema rasilimali hizo kama ujengaji wa miundo mbinu ya kuvuna maji ya mvua, wa utunzaji wa misitu, na uhifadhi wa udongo ngazi ya jamii italeta mabadiliko kuwa mazuri zaidi na jamii kuweza kujiletea maendelea endelevu katika maeneo yao yanayoishi. Aidha ...