Posts

Kangoye aliyeweza kupigania mazingira Mpwapwa

Image
Krisopher Kangoye aliyekuwa  mkuu wa wilaya ya mpwapwa aliye hamia katika wilaya ya Arusha aliweza kujitahidi kupambana na uharibifu wa mazingira  mpwapwa. M

HII NI NYUMBA AMBAYO ALIISHI SHABAN ROBART AKIWA ANAISHI MPWAPWA.

Image

BILION MOJA ZATOLEWA KAMA MKOPO NA FINCA MPWAPWA

  Na Stephen noel –Mpwapwa. JUMLA   ya shilingi   bilioni moja na    na million miatano zilitolewa kama mkopo mbalimbali na Benk Finca   tawi la Mpwapwa Mkoa wa Dodoma   kwa wateja   wake wapatao 2000 kwa mwaka 2013/2014. Kauli hiyo ilibainishwa na meneja wa Finca tawi la Mpwapwa   Bw,Edson   Joel alipokuwa akiongea na waaandishi wa habari   ofisini kwake   jana   kwa mahojiano maluum. Joel alisema mikopo walioyo itoa ni kwa ajili ya biashara kwa wafanya biashara    wakubwa wa kati, na wajasilia mali wadogo wa wilaya ya mpwapwa. Meneja huyo alisema   Lengo la   Benk hiyo   ni   kukuza   biashara na   kuimarisha uchumi kwa jamii na pia   kuondoa umaskini   kwa watanzania   ambao   wengi wao hufanya kazi   ya kupambana na umaskini lakini hukabaliwa na chanagamoto ya ukosefu wa mikopo na     elimu ya ujasilia mali . Amesema wao kama wad...

MADREVA WA BODABODA WAPIGWA MSASA MPWAPWA.

Na   Stephen noel mpwapwa. MADEREVA wote wa naoendesha vyombo vya moto wametakiwa kuzingatia   sheria   na alama za barabarani   ili kuweza kupunguza ajali sisizo kuwa za lazima kwa lengo kuakoa maisha ya watu na mali zao. Kauli hiyo imetolewa na   mkuu wa wa usalama   barabarani wilyani mpwapwa   Josephat Mjema alipokuwa akifungua mafunzo   ya siku saba ya   waendesha vitu   vya moto na wamiliki wa vitu vya moto na mafunzo yanayoendeshwa na shirika lisilo kuwa la kiserikali la   APEK. Aidha   Mjema alisema   jeshi la polisi limeingia mkataba   na shirika lisilokuwa la kiserikali   la APEK    kutoa mafunzo ya   usalama barabarani   kwa madreva wote wa naoendesha vitu vya moto , wanajamii ,na wamiliki wa vitu vya moto   kwa lengo la kuweza kupunguza ajili   za barabarani. Mjema alisema   kutokana na tafiti   zilizofanywa   na jeshi la polisi   wamegun...

TASAF YASAIDIA KAYA MASKINI 6288 MPWAPWA

Na Stephen noel – MPWAPWA HALMASHAURI ya wilaya ya mpwapwa   mkoani Dodoma   imeanza kunufaisha kaya   maskini 6288zenye kipato   cha chini   kwa kuzipatia   fedha   za kujikimu   kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF   awamu ya nne. Gazeti hili limejaribu kutembelea kaya   maskini katika vijiji mbalimbali   vilivyo kuwa chini ya mrad na kukutatana na walegwa   ambao walikiri mpango huo tangu uanze kutekelezwa umeweza kubadilisha maisha yao   na sasa kuyaona kuwa maisha yao yamekuwa na unafuu   tofuati na hapo awali. Mmoja wa wanakijiji cha vighawe   kata ya vighawe Mery Mazanda amesema   awali   alikuwa ankula mlo mmoja kwa siku     lakini tangu mradi huo uanze kutekelezwa nay eye kuingia kwenye mpango kumeweza kubadilisha maisha yake na   afya yake imeboreka   kwa kuweza kula milo mitatu kwa siku. Amedai ‘”kuwaa   sasa anaishukuru serikali ya   Tanzania ...

HISTORIA YA MPWAPWA HATARINI KUTOWEKA

Na Stephen –noel –mpwapwa. WANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameonyesha wasiwasi wao juu ya vitu vya kihistoria   ya wilaya hiyo vilioachwa na wakoloni iko hatarini kutoweka   kutokana   na   sehemu hizo   za kihistoria kuto kuhifadhiwa    na kulidwa na mamlaka husika. Wakiongea   na waandishi wa habari   mmoja wa wazee wakongwe wa mji huo   bwana Abinoo Mathiasi    mkazi wa   hazina alisema kuwa   miongoni mwa historia hizo ambazo   ni   njia kuu ya watumwa   iliyokuwa ikotokea   bara   yaani mikoa ya Kigoma   na Tabora   na kuelekea Bagamoyo na Zanzibar iliyokuwa ikiongozwa na Said Majid TippTip na Abushir ambayo kwa sasa iko mbioni kufutika Mti wa mlumbulumbu ambao kwa sasa umesha anguka na wanachi wameupasua kuni ambapo   palichomwa   kanisa la Anglikana la kwanza   na mfanya biashara ya watumwa   mwarabu Abushir kwa vile watu wa eneo hi...