Posts

TASISI ZA MKOPO KIKWZO KWA WAJASILIA MALI WADOGO.

Na noel stephen dodoma Tanzania kuna uwezekano mkubwa  wa kushidwa kufikia   baadhi ya  malengo yake milenium kutokana na changamoto zilizoonekana katika utekelezaji wa malengo hayo. Akiongea na radio mwangaza fm mmoja wa wajasilia  mali  aliyejiatambulisha kwa jina la solomon Ambakisye alisema kuwa kuna chanagamoto kubwa  katika kulifikia lengo la tatu la milenium amabalo linadai kuondoa  umaskini wa  kipato  kwa mtanzania . Ambakisye amedai kuwa   wajasilia mali wengi nchini   hawana elimu ya  riba na mikopo kwa tasisi za fedha kitu ambacho kinawapelekea  kujingiza kwenye madeni yenye riba kubwa amabayo  amesema kuwa badala ya kuwainua kiuchumi  bali inazidi kuwadidimiza kwa mikopo hiyo kuwa na riba kubwa. Aidha amedai kuwa  bado serikali inatakiwa kulaumiwa kwa hili kutokana na kuweka malengo mengi   lakini kushindwa kuiwekea mikakati ya utekelezaji wa malengo hayo. "Tanzania sis...

CCM YAIBUKA KIDEDEA UCHAGUZI WA UDIWANI MPWAPWA

na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo...

TEMBO AUWA MTU CHUNYU MPWAPWA

na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo...

MADIWANI WAMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MPWAPWA

na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo...
na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo...

VYANZO VYA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI

NA NOEL STEPHEN   MPWAPWA Imegundulika kuwa   migogoro mingi ya ardhi hapa nchini inasababishwa na vijiji vingi kukosa mpango wa matumizi bora ya ardhi. Hali hiyo imegundulika na mwandishi wetu aliyeko wilayani mpwapwa aliyefanya utafiti juu   ya kugundua chanzo cha migogoro mingi inayotokea kati ya wafugaji na wakulima inasababishwa na    vijiji vingi hapa nchini kuto kuwa   na   mipango ya matumizi bora ya ardh. Akiongea mmoja wa   maafisa ardhi wilayani mpwapwa Edina Nambua   alisema kuwa kwa wilaya ya mpwapwa kuna vijiji   tisa tu ambavyo tayari vimefanyiwa   mpango wa matumizi bora ya ardhi kati ya vijiji   124. Aidha   Nambua alisema kuwa   sababu nyingine inayao pelekea migogoro kati ya wafugaji na wakulima sehemu za vijijini ni baadhi ya    watendaji wa ngazi za vijiji na kata   kuwa sehemu za kusababisha migogoro hiyo kwa kushidwa kusimamai a sheria no 5 ya ardhi ya mwaka 1999ambayo hupelek...