DC atangaza vita na waharibifu wa mazingira mpwapwa.
        Mkuu wa wilaya ya mpwapwa mkoani Dodoma Jabir Shekimweri ametangaza vita na watumishi wa serikali watakao bainika katika   kuihijumu serikali   katika vita ya kupambana   na uharibifu wa mazingira Mpwapwa.   Shekimweri aliyasema hayo ofisi kwake alipo kuwa akiongea na   waandishi    juu   mikakati ya kuikomboa wilaya hiyo juu ya uharibifu   wamazingira.   Mkuu wa wilaya hiyo alisema     kupitia kamati ya ulinzi na usalama imebaini baadhi ya watumishi wa serikali wamekwa wakihusika katika uharibifu wa mazingira kwa   kuwa na vibali feki ya kuchana mbao .   Aidha alisema   watumishi wote waliotuhumiwa kufanya hivyo watachukuliwa hatua za kinidhamu na hatua za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakama   kujibu tuhuma zinazo wakabili.   “Inasikitisha kuona watumishi wenzangu wa serikali   kujikita   katika sula la uharibifu wa mazingira ,kwa hili sitakuwa na uvumilivu hata kidogo katika mazingira mimi ni...