Posts

WAZIRI WA JK APATA PIGO AFIWA NA NDUGU 13 KWA MPIGO,MPWAPWA YAZIZIMA.

Image
Na Stephen Noel-Mpwapwa. WATANZANIA 13( kumi na watatu) wamefariki dunia nchini Uganda   walikokuwa wameenda kwenye harusi   ya binti yao baada ya gari gari lao kugongana   na loli karibu na mto   Katonga barabara ya Masaka   usiku wa kuamkia   tarehe 18septemba mwaka huu . Gari hilo lenye namba T 540 DLC   mali ya Gregory Teu lilikuwa likuwarudisha Wanzania wa familia yake, walio wakirudi Tanzania kutokea Uganda, Teu aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mpwapwa mstafu na naibu waziri wa Viwanda na Biasharakatika serikali ya awamu ya nne bwana Gregory Teu. Kwa mujibu wa   taarifa kutoka katika ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Uganda zinasema   watanzania hao walikwenda nchini humo tangu tarehe 16 septemba mwaka huu kwa ajili ya   harusi ya   mtoto wake   bwana Gregory   Teu Mkazi wa Dar es salaam nchini Tanzania aliye olewa nchini Uganda . Aidha taarifa hizo zinasema   gari hiyo ilikuwa na abilia 19 ambapo abil...

DC PANGANI AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA.

Image
. Mkuu wa wilaya ya Pangani mkoani Tanga Bi Zainabu Abdalah   amewataka viongozi wa Dini na   watanzania wote   kote nchini kuweza kumuombeombea Raisi ya Jamhuri ya Muungano   wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wote   ili kuweza kuafanikiwa katika vita kubwa ya kiuchumi wanayo pambana nayo. Sambamba na hili Bi Zainabu   amewataka akina mama wote kuweza kuwasomesha watoto   wa kike   ambao ndio kundi kubwa linalo adhiliwa na   haki ya kunyimwa   fursa za elimu kutokana na chanagamoto lukuki zinazo wakabili watoto wa kike. Bi Zainabu aliyasema hayo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma   alipokuwa akiongea na wananchi wa wilaya hiyo alipokuwa akihudhuria msiba wa mama mzazi wa   mkurugenzi wa halmasahauri ya Pangani    bwana Sabasi   Chambasi   ambae ni mzawa wa Mpwapwa. Mkuu wa wilaya huyo bi Zainabu   akiwa ndiye mkuu wa wilaya pekee mwenye umri mdogo katika   wakuu wa w...

GEREZA LA MPWAPWA LAKABILIWA NA UHABA WA NYUMBA.

Gereza la Mpwapwa mkoani Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa nyumba za askari na kusababisha askari kukaa kwenye nyumba ndogo na zisizo na hadhi kwa askari hao. Haya yamebainishwa na Mkuu wa gereza la mpwapwa mrakibu mwandamizi wa jeshi la magereza bwana Joseph Tembo ameanza jitihada za kupunguza uhaba wa nyumba za askari kwa kuwatumia wafungwa kufanya kazi hizo. Bwana tembo amesema kuwa mpaka sasa wamefyatua na kuchoma zaidi ya tofali elfu harobaini na tano ambazo zitatumika kujengaea nyumba sita za watumishi gereza hilo,Tembo amesema serikali inazitaka magereza kuwa sehemu ya kuwabadilisha tabia na mtazamo kwa wafungwa wale wanao kinzana na sheria .     Mkuu wa Gereza la Mpwapwa Joseph Tembo akizungumzia hali halisi ya Mkakati wa Uboreshaji wa nyumba za Askari. Adha amesema kukamilika kwa nyumba hizo kutapunguza adha ya nyumba kwa askari kumi nambili kupata   makazi bora na   ya kisasa ambapo hapo awali walikuwa wanatumia nyumba za matope na do...

DC atangaza vita na waharibifu wa mazingira mpwapwa.

  Mkuu wa wilaya ya mpwapwa mkoani Dodoma Jabir Shekimweri ametangaza vita na watumishi wa serikali watakao bainika katika   kuihijumu serikali   katika vita ya kupambana   na uharibifu wa mazingira Mpwapwa. Shekimweri aliyasema hayo ofisi kwake alipo kuwa akiongea na   waandishi    juu   mikakati ya kuikomboa wilaya hiyo juu ya uharibifu   wamazingira. Mkuu wa wilaya hiyo alisema     kupitia kamati ya ulinzi na usalama imebaini baadhi ya watumishi wa serikali wamekwa wakihusika katika uharibifu wa mazingira kwa   kuwa na vibali feki ya kuchana mbao . Aidha alisema   watumishi wote waliotuhumiwa kufanya hivyo watachukuliwa hatua za kinidhamu na hatua za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakama   kujibu tuhuma zinazo wakabili. “Inasikitisha kuona watumishi wenzangu wa serikali   kujikita   katika sula la uharibifu wa mazingira ,kwa hili sitakuwa na uvumilivu hata kidogo katika mazingira mimi ni...