Posts

WANASISA NA WATUMISHI WAASWA KUSHIRKIANA KUILETEA JAMII MAENDELEO ENDELEVU.

Na   noel Stephen   mpwapwa. WATENDAJI   na wanasiasa wilayani mpwapwa wanatakiwa   kushirikiana katika kuiletea wilaya hiyo maendeleo endelevu. LAI hiyo imetolewa na katibu Tawala wa wilaya hiyo   Athanasia Kabuyanja   alipokuwa akiongea na waaandishi wa habari ofisi kwake mapema wiki    kwa   mahojianao maluumu. Kabuyanja   aliwataka   watumishi   na watendaji wa serikali kuweza   kushirikiana   katika kuiletea wilaya hiyo   maendeleo endelevu juu    juu kilimo, utunzaji mazingira, utawala bora na huduma za jamii ili mtanzania aifurahie nchi yake na anufaike na kodi anazo lipa. ALISEMA kwa wilaya ya mpwapwa ni miongoni mwa wilaya amabazo ziliweza    kuingia   katika migogoro ya kiutendaji kati wa watumishi na wanasiasa   kwa mwaka 2013 kitu alicho kisema kuwa   kwa sasa hali hiyo imetulia      na ushirikiano umemalika. Aidha   alisema  ...

UHABA WA MAJI MPWAPWA

  Na noel Stephen –mpwapwa Kuna uwezekano mkubwa   wa kuzuka kwa magonjwa milipuka   kama kipundupindu na magonjwa ya   kuambukizwa katika   tasisi nyingi   zikiwemo vyuo, shule za sekondari   na maeneo ya mikusanyiko ya watu wilayani mpwapwa mkoani Dodoma kutokana na kukosa   huduma yamaji kwa siku tatu mfululizo sasa. AKIONGEA   na mwandishi wetu wilayani hapo   kaimu mkuu wa shule ya sekondari   ya mpwapwa Sisti Karia   alisema kuwa katika shule yake kumekuwako na hali mbaya   kiafya hasa maeneo ya vyooni   kutokana na kukkosekana kwa maji   katika shule hiyo.   Alisema kwa sasa shule hiyo imeamua kuendesha shule   kwa maji ya kununua katika matoroli    ambapo kwa dumu wananunua   sh 500/=hadi   1500/=kwa dumu la lita ishirini ambapo alisema napo hali hiyo haitoshelezi   mahitaji   ya shule kwa wanafunzi kuoshea vyombo,kuoga na kuendea vyooni”kwa sasa tuna ha...

CHAMA CHA WALIMU CHAIDAI SERIKALI MILION 412.7 MPWAPWA

  Na noel Stephen   - Mpwapwa   CHAMA   cha walimu wilayani mpwapwa   mkoani Dodoma   kinaidai serikali kiasi cha tsh milioni   412,701,983 kama madeni ya mapunjo ya mishara, pesa za likizo   na   upandishwaji wa madaraja. Kwa walimu   wake kwa kipindi cha kuanzia   desemba 2012 na   hadi   feb 2014. Kauli   hiyo imelotelewa na   katibu   wa chama hicho wilayani hapa Donard Kisamaba   alipokuwa akisoma taarifa ya utekelezaji katika   mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa ccm    mjini mpwapwa. Kisamba   alisema kuwa    madeni hayo ni   mapunjo ya   mishahara    na makato mbalimbali ambayo walimu   wanamdai mwajili kama haki zao za msingi   kazini . ALISEMA   serikali ikiwa katika mchakato wa    matokeo makubwasasa (big result now) katika idara ya elimu hayatapatikana      ka...

AUWA MKEWE KWA KIPIGO

  Na noel   Stephen   mpwapwa. JESHI la polisi wilayani mpwapwa Kijana mmoja   aliyefahamika   kwa jina   la Hamis Nwage    kwa tuhuma za kupiga hadi kumuua mke     (mpenzi wake).   Tukio hili lililotokea     asubuhi ya feb 11 katika eneo la hazina wilayani mpwapwa mkoani   Dodoma   ambapo kijana huyo   alimpiga hadi kumuua mke wake aliyetambulika kwa jina Amana Makamba kwa kutumia kitu kianachosadikiwa kuwa ni kizito hali iliyosababisha mauti(37) . Akiongea   mmoja wa mashuuhuda wa tukio hilo ambae ni dada wa marehemu   Bi   Stela   Mwasongwe   amesema   kuwa   siku ya tukio   walikuja kuambiwa na   majirani   kuwa    mdogo   wake anasadikiwa   kuwa   kapigwa   na kujeruhiwa na mume wake ndipo walipofika eneo hilo na kumkuta mdogo wake huyo akiwa amekwishafariki. Mjomba wa marehemu   musa mhina  ...

MITANDAO YA KIJAMII NI KIUNGO CHA KUWAKUTANISHA WATU.

Image
Mmiliki wa BLOG Hii akiwa na ndugu yake ambae walikuwa hawakuwahi kuonana  kwa miaka 25.lakini face book na blog imewakutanisha,

UHARIBIFU WA MAZINGIRA UNAVYO SHIKA KASI MPWAPWA

Image
Uharibifu wa mazingira ni  changomoto kubwa katika wilaya ya mpwapwa japo kuwa baadhi ya wahusika wakiwamo wakuu wa idara kuhisika katika uharibifu huo , madiwani, na watendaji wa kata na vijiji,lakini  hili linashikiliwa kidedea na  mkuu wa wilaya ya mpwapwa Chrisopher Kangoye.

ASKARI AKIMUONYA MZEE ANAEENDESHA UVUVI HARAMU KATIKA BWAWA LA MTERA

Image
Uvuvi haramu ni shida kubwa inayao ikkabili bwawa la mtera  huku wahusika wa wilaya hizi yaani mpwapwa na  chamwino wakiwa wanalichulia mzaa