Posts

BUNGE LA SOMALIA LAPANAGA

Image
+ Toa maoni sasa Chapisha Baruapepe Panga upya Bunge la Taifa la Katiba ya Somalia (NCA) lilifungua siku yake ya sita hapo Jumatatu (tarehe 30 Julai) ambapo wajumbe waliahidi kutochelewesha zaidi wakati wanafanya kazi kuelekea uidhinishaji wa rasimu ya katiba ifikapo tarehe 2 Agosti, kwa mujibu wa Redio Mogadishu. Wajumbe wakihudhuria sherehe za ufunguzi wa mkutano wa Bunge la Taifa la Katiba tarehe 25 Julai. [Na Mahmoud Mohamed/Sabahi] Makala zinazohusiana Bunge la Katiba la Somalia lakutana Mogadishu Viongozi wa Somalia wakubaliana na ratiba ya kumaliza kipindi cha utawala wa mpito Mkutano wa Mpango Mkuu wa Somalia wafungwa Addis Ababa Wajumbe 825 walikutana tarehe 25 Julai katika Chuo cha Polisi Mogadishu na kuanzia hapo kukutana kila siku isipokuwa ucheleweshaji wa muda siku ya Ijumaa kutokana na sababu za kiufundi na shambulio la kombora karibu na hapo. Hakuna aliyejeruhiwa katika mlipuko ...

AL-SHABABU WAUWANA WENYEWE KWA WENYEWE KUOGOPA KUSALITIANA

Image
a serikali za kigeni kunaonyesha ukosefu wa imani ndani ya vyeo vya kikundi cha wapiganaji, wachambuzi wa kisiasa na waangalizi wanasema Mpiganaji wa al-Shabaab amesimama akilinda wakati mamia ya wakazi wakiangalia adhabu ya kukatwa viungo hadharani. Al-Shabaab hivi karibuni iliwaua wanachama wake watatu kwa tuhuma za kupeleleza kwa niaba ya serikali za kigeni. [Mustafa Abdi/AFP] Makala zinazohusiana Al-Shabaab imezingirwa na mivutano mikubwa ya ndani Zawadi zaongeza mgogoro wa ndani miongoni mwa al-Shabaab, wachambuzi asema Kuyumba kwa al-Qaeda kunatokana na vifo kadhaa miongoni mwa viongozi wake Al-Shabaab ilisema watu watatu -- Ishaq Omar Hassan,miaka 22, Yasin Osman Ahmed,miaka 23, na Mukhtar Ibrahim Sheikh, miaka 33 -- walikuwa wanapeleleza kwa ajili ya Shirika la Upelelezi la Marekani na Shirika la Upelelezi la Uingereza MI6. "Hassan na Ahmed wote wawili walihusika na vifo vya Bilal al-Berjawi na wengine watatu [wanachama wa...

mpango wa serkali waleta nafuu kwa wafugaji kenya

Image
rikali unaotoa mifugo kwa familia zilizopoteza wanyama wao wakati wa ukamu wa mwaka jana. Msichana akichunga mbuzi wake kaskazini ya Nairobi. Serikali ya Kenya imenunua mifugo kwa wachungaji ili kuwasaidia wale walioathirika na ukame. [Na Tony Karumba/AFP] Makala zinazohusiana Wachungaji Kaskazini Mashariki ya Kenya wahamasishwa kuelekea kilimo Kenya yakumbana na uhaba wa mazao kutokana na ukame unaoendelea Mahakama Kuu Mpya huko Garissa yaboresha raia kupata haki Kwa mujibu wa mafisa wa serikali, familia 79,041 zilisaidiwa kupitia mpango huu, uliomalizika mapema mwezi huu. Waliofaidika nao waliiambia Sabahi kuwa mpango huo utawasaidia kuanza upya maisha yao. Fatuma Ali Hassan, mkazi wa Wilaya ya Wajir mwenye umri wa miaka 52, alisema familia yake ya watu wasita iliporomoka baada ya kupoteza ng'ombe wake 87 kutokana na ukame. "Tulikwishapoteza matumaini yote baada ya kupoteza chanzo chetu pekee cha kutupatia riziki mpaka pale se...
Image
WANAFUNZI HAO WAKIMUANGALIA MTUMISHI WA BENKI YA NMB MPWAPWA , WAKITAFAKARI KESHO YAO HUKU WALIMU WAKIZI KUTIA NGUMU JUU KUWAFUNDISHA ,

SEHEMU YA MLIMA ILIYO HARIBIWA WILAYANI MPWAPWA GALIGALI

Image

WAZAZI WASHAURIWA KUWAKEZEA WATOTO.

Image
  Wito   umetolewa kwa wazazi wote nchini kujenga moyo   wa kuwawekekea watoto wao akiba   mbali mbali za kimaisha   ili wasipate taabu   wanapo ingia utu uzima   Wito huo umetolewa na Meneja wa Bank   ya   NMB   tawi la Mpwapwa BWANA HERMAN MASUKI   hivi karibuni alipo kuwa akizindua    mpango wa     Ankaunt maalum kwa watoto   walio chini ya miaka kumi na nane ajulikayo kama   Finacial Fitness . Bwana masuki alidai kuwa Wazazi wengi nchini hawana   tabia ya kuwawekea akiba watoto walio chini ya miaka kumi na nane   kitu alicho kisema kuwa kina leta shida pindi mtoto aingiapo utu uzima na kuanza au anapo pelekwa shule kushidwa kugalamiwa masomo kutokana na wazazi wengi kuto kuwa na malengo ya badae kwa watoto wao Mhasibu wa   BENK   ya NMB Mpwapwa akitoa zawadi kwa wanafunzi   walio hudhuria harmbee   ya fitness   M pwapwa (picha na noel Stephen mpwapwa....

WATOTO WA SHULE MBALIMBALI WILAYANI MPWAPWA WAKIMSIKILIZA MTUMISHI WA BENK YA NMB MPWAPWA KUHUSU AKAUNTI ZA WATOTO.

Image