WANAFUNZI HAO WAKIMUANGALIA MTUMISHI WA BENKI YA NMB MPWAPWA , WAKITAFAKARI KESHO YAO HUKU WALIMU WAKIZI KUTIA NGUMU JUU KUWAFUNDISHA ,
Posts
SEHEMU YA MLIMA ILIYO HARIBIWA WILAYANI MPWAPWA GALIGALI
- Get link
- X
- Other Apps
WAZAZI WASHAURIWA KUWAKEZEA WATOTO.
- Get link
- X
- Other Apps
Wito umetolewa kwa wazazi wote nchini kujenga moyo wa kuwawekekea watoto wao akiba mbali mbali za kimaisha ili wasipate taabu wanapo ingia utu uzima Wito huo umetolewa na Meneja wa Bank ya NMB tawi la Mpwapwa BWANA HERMAN MASUKI hivi karibuni alipo kuwa akizindua mpango wa Ankaunt maalum kwa watoto walio chini ya miaka kumi na nane ajulikayo kama Finacial Fitness . Bwana masuki alidai kuwa Wazazi wengi nchini hawana tabia ya kuwawekea akiba watoto walio chini ya miaka kumi na nane kitu alicho kisema kuwa kina leta shida pindi mtoto aingiapo utu uzima na kuanza au anapo pelekwa shule kushidwa kugalamiwa masomo kutokana na wazazi wengi kuto kuwa na malengo ya badae kwa watoto wao Mhasibu wa BENK ya NMB Mpwapwa akitoa zawadi kwa wanafunzi walio hudhuria harmbee ya fitness M pwapwa (picha na noel Stephen mpwapwa....
WATOTO WA SHULE MBALIMBALI WILAYANI MPWAPWA WAKIMSIKILIZA MTUMISHI WA BENK YA NMB MPWAPWA KUHUSU AKAUNTI ZA WATOTO.
- Get link
- X
- Other Apps
VIONGOZI YANGA CHAGUENI VIONGOZI BORA
- Get link
- X
- Other Apps
viongozi bora Send to a friend Monday, 09 July 2012 11:26 0 digg MWISHONI mwa wiki hii utafanyika uchaguzi wa viongozi wa Yanga kwa ajili ya kujaza nafasi zilizo wazi za Kamati ya Utendaji. Uchaguzi huo unafanyika baada ya wajumbe saba wa Kamati ya Utendaji ya Yanga kujiuzulu pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Lloyd Nchunga kujiuzulu pia. Hivi sasa klabu ya Yanga inaongozwa na sekretarieti ya Yanga chini ya Katibu Mkuu wa klabu hiyo Celestine Mwesigwa mpaka uchaguzi utakapofanyika Julai 15. Uchaguzi wa Yanga utakaofanyika mwishoni mwa wiki utakuwa kwa ajili ya kupata Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na wajumbe. Wanachama mbalimbali wa Yanga wanaowania nafasi tofauti za uongozi walikuwa wakifanya kampeni katika siku za hivi karibuni, ambapo Jumapili ijayo itakuwa ni siku ya wanachama wa Yanga watakaopiga kura kuchagua viongozi wanaowaona wanastahili kuongoza klabu yao. Tunafahamu kufanya uchaguzi ni gharama hivyo tuna...
SALAMU KWA WAPENZI WA BLOG YA MPWAPWA HABARI.
- Get link
- X
- Other Apps
NDUGU ZANGU WAPENZI WA BLOG YA MPWAPWA HABARI NAPENDA KUWASHUKURU KWA MAONI YENU JUU YA BLOG HII, ILA NAPENDA KUWA DHIBITISHIA KUWA NIMEJIPANGA UPYA KUBORSHA HUDUMA HII KUWAONGEZEA MAMBO HAYA AMBAPO KUANZIA WIKI HILI KUTAKUWA NA UKURASA WA MAHUSINO UTAPATA TIPS ZA KUBORESHA MAHUSIANAO YAKO KATI YAKO NA MWENZI WAKO.MCHUMBA NA MUMEO/MKEO.PIA NAWALETEA UKURASA JUU MASWALI MENGI YANAYO ULIZWA NA VIJANA WENGI KUHUSU KUINGIA UTU UZIMA , MTAPATA MAJIBU YENU,PIA WAPO WALIOLALAMIKIA KUWA HAWAIONI SEHEMU YA KUANDIKA COMMENT, KWANZA ANGALIA HABARI UNAYO ITAKA KISHA NENDA SEHEMU ILIYO ANDIKA"0comment" ponyeza hapo utapata kibox cha kutolea maoni yako. asanteni sana na karibu sana .