Posts

KESI YA LULU BADO UPELELEZI

a Lulu bado haujakamilika.Lulu anakabiliwa na kesi ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lakini jana Wakili wa Serikali, Peter Sekwao aliieleza mahakaama hiyo kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kuiomba mahakama ipange tarehe nyingine.Hakimu Mkazi, Agustina Mmbando aliahirisha kesi hiyo na hadi Juni 18, 2012 itakapotajwa tena mahakamani hapo. Hata hivyo, jana mshtakiwa huyo alilazimika kupandishwa kizimbani mara mbili baada ya tarehe ya kutajwa tena kukosewa. Awali, hakimu Mmbando alisema kuwa kesi hiyo ingetajwa tena Juni 28 kisha mshtakiwa huyo akaondolewa mahakamani na kupelekwa mahabusu akisubiri kurejeshwa mahabusu ya gereza la Segerea. Lakini baadaye alirudishwa tena mahakamani na kupandishwa kizimbani baada ya kubainika kuwa tarehe iliyopangwa ya kutajwa kwa kesi hiyo haikuwa sahihi kwani karani alikuwa amekosea kuhesababu, ndipo ikapangwa Juni 18. Jalada hilo lilipelekwa Mahakama Kuu Ijumaa ya Mei 18, mwaka ...

mwakyembe amg,oa bkigogo wa kigogo usafirishaji ATCL

Image
0 digg Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe Mwandishi Wetu WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ametengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Paul Chizi na amewasimamisha kazi wakurugenzi wanne kutokana na “ukiukwaji wa sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, ambao umetishia uhai wa shirika hilo muhimu kwa taifa.”Kutokana na hatua hiyo, Dk Mwakyembe amemteua rubani wa siku nyingi katika shirika hilo, Kapteni Lusajo Lazaro kukaimu nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Chizi. Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mhandisi Omary Chambo alisema Dar es Salaam jana kwamba Waziri amefikia uamuzi huo kutokana na taratibu za uteuzi kwa wafanyakazi wa umma kutokufuatwa. Alisema nafasi aliyopewa Chizi haikutangazwa kama sheria na kanuni zinavyotaka...  “Uteuzi wake haukufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, hivyo kupitia Sheria Na 8 ya mwaka 2002 na kanuni ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2003 Na 17(4), Dk Mwakyembe ametengua uteuzi huo kuanzia...

ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUPIGWA NA TEMBOOMANA

Image
Na OMANA GOUTH   MPWAPWA Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Baraka mlowe (25) mkazi wa kijiji cha pwaga kitogoji cha ikulu wilayani mpwapwa mkoa wa Dodoma amejeruhiwa na tembo na kupasuliwa tumbo hadi utumbo kuwa nje ya tumbo lake. Akizungumza na waandishi wa habari   kaka yake   majeruhi bwana Geofrey Mlowe alisema kuwa siku ya tukio majeruhi alikuwa   na nyumbani    na alisikia kuwa tembo wameingia mashambani   na wanaharibu mazao na ndipo alipo enda kuangalia hali ya shamba na   kuwafukuza wanyama hao,   Alisema kuwa ndipo   alifika mashambani alikuta tembo hao na alikuta watu wengi wakiwa wana shangaa   tembo hao lakini yeye alitaka kuwashangaa kwa karibu ndipo tembo huyo   alimrukia   na   kumwangusha chini na kuanza kumkanyaga na alimchoma na mkonga   na ndipo alimtoboa sehemu za tumboni na kumtoa utumbo ukiwa nje. “Alipo kuwa amekamatwa na   tembo huyo watu wakapiga kelele na   za kuomba msaa...

MPWAPWA KUWA JAGWA BAADA YA MIAKA KUMI.,WATAFITI

NA STEPHEN NOEL MPWAPWA Imeelezwa kuwa baada ya   miaka kumi    zaidi    ya   wakazi wapatao wapatao 150,000 laki moja na elfu hamsini wa kazi wa wilaya ya mpwapwa na kogwa wataokosa huduma za maji kabisa   kutokana na uharibifu wa mazingira unaoendelea katika   vyanzo ya maji vya milima kiboliani na kwa kwamdyanga.   Hayo yamebainishwa na watafiti wa huduma za jamii   za kituo cha utafiti na mifugo   cha   Tanzania kilichopo wilayani mpwapwa   Mkoa wa dodoma   kijulikanacho kama LITI – MPWAPWA.   Akiongea na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya mpwapwa amabae kwa sasa amehamia wilaya ya   Karagwe Bi Darling Lwegasila   mkuu wa chuo   cha utafiti cha mpwapwa   Dk,   Devid Sindalo   alisema kuwa kutokana   shughuli za kibinadamu   zinazo endelea katika vyanzo ya   maji vilivyoko kwenye milima   kiboliani    Wilaya ya mpwapwa   wakazi wake watakosa maji ...

STARS WAFIKA ABJANI HOI

Image
0 digg Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samata akiwa amelala kwa uchovu katika viti kwenye uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta, Nairobi wakati wakisubiri kubadilisha ndege kuelekea jijini Abidjan, Ivory Coast. Picha na Edo Kumwembe. Edo Kumwembe, Abidjan TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imetua salama jijini Abidjan jana saa 12 jioni bila ya kiungo wake wa Haruna Moshi 'Boban' aliyeachwa Dar es Salaam kwa madai ya kusumbuliwa na maumivu ya nyama za paja. Hadi juzi wakati kikosi cha mwisho kinatangazwa kulikuwa hakuna taarifa yoyote ya kuumia kwa Haruna mbali ya Nurdin Bakari na Thomas Ulimwengu walioenguliwa mapema kutokana na kuwa majeruhi. Kocha Kim Poulsen aliiambia Mwananchi jijini Nairobi jana kuwa Moshi 'Boban' hakusafiri na timu baada ya kuumia nyama za paja akiwa mazoezini mara baada ya mechi dhidi ya Malawi. Poulsen alisema kuachwa kwa Haruna ni pengo kwa kikosi chake, lakini atapata jibu la mchezaji anayeweza kuziba ...

SHEIN AFUNGUKA VURUGU ZA NZANZIBAR

Image
BAADA ya kuwa kimya tangu kutokea machafuko Tanzania Visiwani takriban wiki moja iliyopita, Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, amejitokeza kuyazungumzia kwa kuonya kwamba, Serikali yake haitavumulia watakaovunja amani huku akiahidi kuimarisha ulinzi kwa wananchi wake. Kwa siku takriban nne tangu Jumamosi ya wiki iliyopita, visiwa vya Zanzibar viligubikwa na hali tete kiusalama baada ya kuwapo matukio ya uchomaji moto makanisa yanayodaiwa kufanywa na wafuasi wa Jumuiaya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam (JUMIK), ikitaka visiwa hivyo viwe dola huru. Hatua hiyo ya Rais Shein kujitokeza jana pia imekuja ikiwa ni siku moja tangu jopo la viongozi wa dini ya Kikristo kutoa tamko kali kwa Serikali, wakiitaka iwajibike kwa uharibifu huo uliodumu tangu mwaka 2001. Jana, akizungumza  na waandishi wa habari Ikulu ya Zanzibar, Dk Shein alisema amesikitishwa na matukio hayo ya Mei 26. “Mei 26 hapa Zanzibar kulitokea vitendo vya kuvunja amani. Tumeshuhudia maandamano yenye s...

JK.AKUBALIANA NA LOWASA KUHUSU AJIRA KWA VIJANA

Image
0 digg Rais jakaya Kikwete akizungumza jambo na Rais wa Ivory Coast,Allasane Wattara kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA)baada ya kuhudhuria mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika(AfDB)mjini Arusha.picha na Filbert Rweyemamu