Posts

Showing posts from October, 2016

WASTAFU WALIA KUKOSA UMOJA

  Katibu wa   chama cha walimu wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma   bwana Pankras Ngamesha ameiomba serikali ya awamu ya tano kuwachukulia hatua waajili wanaozembea kuwasilisha michango ya makato katika mifuko ya pesheni hapa nchini Ngamesha   alitoa kauli hiyo   alipokuwa akiongea katika hafla ya kuwashika mkono wa pongezi walimu 34 wa wilaya ya mpwapwa mkoa wa Dodoma   walio stafu   utumishi wao   mwezi march na mwezi mei mwaka 2016. Ngamesha alisema kumekuwako na chanagamoto kubwa kwa wastafau kuishi maisha magumu mala baada ya kumaliza utumishi wao serikali kutokana na kucheleweshewa   mafaoa yao kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii   (PSPF). Aidha   Ngamesha aliwakabidhi   bati 20 kila mmoja walimu kumi   waliostafu ambao walikuwa wanachama wa chama cha walimu hapa   wilayani kama kuwashika mkono wa kwaheri na kutambua mchango wao wa kukutumikia chama hicho na serikali   kwa ujumla .   Mwl Ngamesha alisema kuwa   kufuatia mabadiliko ya katiba ya chama cha walimu n

WALIMU WAASWA MAADILI

  Na Stephen Noel – Mpwapwa. WALIMU watakao husikana kusimamia       mitihani ya   kidato cha nne mwaka 2016   wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma   wametakiwa   kufanya kazi hiyo   kwa kuzingatia maadili   na maelekezo   wa kati   wote yanayo tolewa   ili kufanikisha kazi   hiyo kufanyikabila   ya kuwapo kwa kasoro zozote. Akifungua   Semina   ya wasimamizi wa mtihani wa kidato cha nne   kwa mwaka 2016   iliyo fanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Mpwapwa mkuu wa wilaya ya Mpwapwa   Jabil Shekimweri   amesema Serikali ina imani kubwa na walimu hao kufanikisha zoezi hilo la kitaifa   pia na wao hawana budu kuonyesha imani hiyo   kwa kutekeleza majikumu yatakayopewa   na viongozi wao pamoja na kamati ya mtihani ya mkoa na wilaya. Amesema dhumuni la semina hiyo ni kuwakumbusha   na kuwalekeza wazimamizi wote wa mitihani   pamoja na wakuu wa shule kuto kufanya udanganyifu wowote wawapo katika vituo vyao vya mitihani ili kulisaidia taifa kuweza kupata   wanafunzi halali na sah

MTENDAJI WA KIJIJI AMUWEKA MAHABUSU MWANAFUNZI KWA SIKU TATU RUDI.

KATIKA hali isiyo kuwa ya kawaida   mtendaji wa jijiji   cha Igunga kata ya Rudi   wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma   amemuweka maabusu   kwa siku   tatu mtoto   ya   miaka 11   mwanafunzi wa darasa la tatu   mala baada ya kupigana   na mwezie shuleni. Mzazi wa mtoto huyo bwana Gerard   Simbai   alisema   kuwa     watoto hao   wanaosoma katika shule ya msingi Igunga   kata Rudi   walipigina   wakiwa shuleni   siku ya tarehe 30,agosti mwaka huu lakini mtoto huyo alikamatwa siku   ya taehe 11,octeber   mwakaa huu. Bwana Sambai alisema baada ya kukamatwa na mgambo aliyejulikana kwa kwa jina la moja la   Dales    na kumwambia    kuwa   mtoto huyo anatakiwa na   na mtendaji   wa kijiji   kwa mahojiano zaidi aliye julikana kwa jina la Makalios Mbada. Aidha bwana Sambai alisema alipo jaribu kumfuatilia haki   ya    mwanae uongozi wa kijiji hicho ilimtishia   na kumtaka alipe gharama za matibabu alizotumia   mzazi wa mtoto walio pigana na mwanae   ili wamuachilie   alipo kataa  
Image
Mkurugenzi mtendaji wa TALIRI  Mpwapwa Dkt Daniel Komuhangilo akifungua warsha ya utafiti Mpwapwa.

Picha za watafiti wakikatika chumba cha Mafunzo.

Image
Baadhi ya watafiti wa kituo cha TALIRI Mpwapwa wakiwa katika Mafunzo ya njisi ya kutumia mitandao  kupata habari za kitafiti katika majarida ya kisayansi kwa kutumia njia za Kielekronik.
Image
Watafiti wa Tasisi ya TALIRI Mpwapwa katika picha ya pamoja  Mpwapwa.

KILIMO CHA UMWAGILIAJI NDIO WAROBAIN WA USALA WA CHAKULA TANZANIA

Na stephen noel   Mpwapwa . SERIKALI ya awamu ya tano   imeaswa kuwekeza katika   tafiti    za   kilimo na mifugo hapa nchini ili kuweza kuwa na uhakika na usalama wa chakula kwa wanachi wake. Kauli hiyo ilitolewa jana na   mkurugenzi mtendaji wa   utafiti   Tanzania   Dr,Daniel Komuhangilo alipokuwa akifungua   warsha ya siku tatu ya     kwa watafiti   juu ya   maabara za kielektroniki    iliyo fanyika katika ukumbi wa mikutano katika chuo cha utafoti cha   TALIRI Mpwapwa. Dtk.Komuhangilo    alisema   kwa mujibu wa tafiti zilifanywa hapa nchini zinaonyesha   kuwa mabadiliko ya     tabia ya nchi   ni miongoni mwa sababu kubwa   zinazopelekea Tanzania kushidwa kuwa na uhakika wa chakula . Aidha Dkt. Komuhangilo   alisema    kuwa   Tanzania   ni miongoni wa   nchi ambyo   idadi kubwa ya wanachi wake wamejikita katika sekta ya kilimo na mifugo   ambayo inakadiliwa zaidi ya   asilimia 80% ya watanzania wanajishughulisha   na sekta ya kilimo na mifugo    japo kuwa bado sekta