Posts

Showing posts from September, 2016

WANCHUO WAMTUMBUA MKUU WAO

SAKATA la la uwajibishwaji   kwa la viongozi wazembe likiwa linashika kasi katika tasisi mbalimbali za umma na za serikali   sasa limemkuta mkuu wa chuo cha wanannchi   Chisalu bwana Sebastian Aweit kuvuliwa madaraka yake kwa muda   na mwenyekiti wa kamati   ya ulinzi na usalama kwa tuhuma mbalimbali. Tukio hilo limetokea hivi karibuni   katika chuo cha wananchi Chisalu kilichopo katika kata ya Matomondo wilayani Mpwapwa bala baada ya   kamati ya ulinzi na usalama wilayani hapa bwana Jabili shakimweli   ambae ni mkuu wa wilaya hiyo   kummvua   madaraka ya ukuu wa chuo kwa muda, mkuu wa chuo cha maendeleo ya wananchi    Chisalu Bwana   Sebastian Aweit   kwa   kushidwa kuongoza chuo hicho . Shakimweli amesema amefikia uamuzi huo mala baada ya kuona na kujiridhisha   juu za tuhuma   zilizotolewa   na wanachuo wa chuo hicho hadi kupelekea wanafunzi kugoma kuingia madarasani   na kutishia hali ya usalama wa wafanyakazi wa chuo hicho na mali za chuo . Bwana Shakimweri amesema m

UVCCM ACHANE KUTUMIKA - KIMTENDE

Katibu   wa jumuiya ya   umoja wa   vijana wa vijana UVCCM   wilwywni Mpwapwa mkoani   Dodoma bwana Jumanne Kimtende amewataka vijana kuweza kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali   za ndani ya chama ya hapo mwakani 2017. Kimtende ameyasema hayo   jana ofisini kwake alipokuwa akiongea na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya kuingia katika chaguzi ndani ya chama znazo talajiwa   kufanyika mwaka 2017 nchini kote. Kimtende amesema kuwa   vijana wamekuwa walalamikaji wakubwa kuwa   wamekuwa watu wa kufanyiwa maamuzi yanayo wahusu na watu ambao sio vijana, kitu alicho kisema kuwa kinatokana na vijana wenyewe kutojiingiza katika   mfumo wa kufanya maamuzi ambao ni ungozi   ndani ya chama na wao ubaki kutumiwa kuwanadi wagombea kitu alicho kisema kuwa vijan wajitambue na waaache kutumika. Aidha Kimtende amesema    kuwa lazima vijana wajiandae kuwanai nafasi mbalimbali ndani ya jumuiya hiyo ili kuweza kukiweka chama katika msingi mzuri na ulio imara   na dhabiti   ndani ya cham

KIONGOZI MBIO ZA MWENGE ATAKA MIRADI IENDELEZWE MALA BAAD YA MWENGE KUPITA

MWENGE wa Uhuru   wazindia   na kuweka mawe ya msingi   kwenye   miradi maendeleo yenye dhamnai ya shiingi billion 1, 380,562,029,72/= wilayani Mpwapwa    mkoani Dodoma. Mwenge huo uliopokelewa kutoka katika   wilaya ya Kongwa   umezindua miradi mitano na kuweka jiwe la msingi katika mradi mmoja   nyumba ya walimu ya sita   kwa moja katika shule ya sekondari Matomondo. Mkuu wilaya ya Mpwapwa Jabil Shakimweri   mwenge huo umekimbizwa katika wilaya ya mpwapwa kwa   Umbali wa kilometa 110 na kuzindua miradi ya maendeleo yenye dhamani ya shilingi billion 1,380,562,029,72/=. Shakimweri amesema miradi hiyo kuwa ni Nyumba ya walimu   shule ya sekondari Matomondo yenye uwezo wa kuishi familia   sita kwa nyumba moja ,kufungua mradi ya maji katika kijiji cha Kimagai,Uzinduzi wa Jengo la   vikundi vya ugawaji wa hisa,Josho   la Ng’ombe katika kijiji cha Mangangu,Uzinduzi wa maabara ya kisasa katika   hospitali ya Benjamini Mkapa   na uzinduzi wa kituo cha biashara   katika halmashau

MWENGE WANDINDUA ,IRADI YA BILINI 1.380.562.029.72 Mpwapwa

Image
www.geogle.com KIONGOZI WA MBIO ZA KITAFIA george MBIJIMA AKIKAGUA MAABARA YA KISASA KATIKA HOSPITALI YA BENJAMINI MKAPA MPWAPWA. KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AKIKATA UTEPE KATIKA  MAABARA YA KISASA MPWAPWA.picha na Stephen  NOEL

WATOTO 6041 WANATARAJIA KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU SHULE YA MSINGI MPWAPWA.

. Jumla ya watahiniwa   6041 wa darasa la saba wilayani Mpwapwa mkoani hapa wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba   mwaka 2016 Kati ya watoto   hao wavulana   ni2654 na wasichana   3387 wakati walio anza   darasa la kwanza walikuwa watoto 7931 wakiwamo wasichana 4247 na wavulana 3684 mwaka   1999. Ofisa elimu    talaaluma wilayani hapa bi Mery Chakupewa   alisema kuwa   wanafunzi walishidwa kufanya mtihani huo ni watoto 1890 ikiwamo sababu za kuhama , vifo, na utoro wa lejaleja . Akifungua mfunzo ya usimamizi wa mtihani huo mkuu wa wilaya ya Mpwa[pwa bwana Jabil Shakimweri   aliwataka walimu hao kuto lubuniwa na kujiingiza katika vitendo vyote vya udanganyifu    kwa kumuonyesha mwanafunzi majibu au   kumfanyia mtihani. Shakimweli alisema kuna baadhi ya walimu walijikuta na wakjiingiza katika viitendo hivyo vya udanaganyifu na kujikuta wanakabailiwa na matatizo makubwa   baada ya kubainika kukiuka taratibu za usimamizi wa mitihani   na baraza la mithani