Posts

Showing posts from March, 2015

cwt uongozi mpwapwa

Image
Katibu wa CWT na Mhasibu wa chama hicho Kess Kidifu

WAWEZESHESHAJI WA TASAF WATAKIWA KUSIMAMIA TARATIBU

WAWEZESHAJI   wa wilaya   katika mpango wa TASAF   awamu ya Tatu   wametakiwa   kusimamia   taratibu   na kanuni za mpango huo   ili uweze kuwanufaisha walegwa kama ilivyo kusudiwa na   serikali. Kauli hiyo   ilitolewa na     afisa ufuatiliaji   wa mpango huo wilayani hapa Fraston Anyitike   alikuwa akingea   na wawezeshaji   wa wialaya katika mpango wa malipo   juu ya kuwezesha kaya maskini   katika kipindi cha roya ya   march   -April   2015. Anyitike amesema japo kuwa utaratibu unafahamika   lakini wapo baadhi ya   watendaji wa vijiji wamekuwa wakitumia   fulsa hiyo   kuwaingizia wanachi   michango mbalimbali ambayo haipo katika   mpango   wa   vipaumbele vya   ruzuku hiyo kwa   walegwa. Amesema kuwa ruzuku ya   wanayao pokea walegwa   katika   mpango wa TASAF   awamu ya tatu   imelenga kuboresha   elimu na afya kwa kaya hizo   na kuongeza kipato   kwa kaya   maskini   kupitia   uwekaji wa akiba na kuwekeza katika shughuli za kiuchumi kama ufugaji wa kuku wa kienyeji ,

VIONGOZI WA CWT MKOA WA DODOMA WAKIWA NA MGENI RASMI

Image

PICHA YA WALIMU MPWAPWA WAKIIMBA WIMO WAO

Image
Walimu wakiimba wimbo wao  wa kuhamasishana  unaojulika kama solidality forever............

C WT YAPATA VIONGOZI WAPYA MPWAPWA.

CHAMA   chama cha walimu   wilayani mpwapwa mkoani DODOMA   kimepata   viongozi   wake wapya   watakao kiongoza chama hicho kwa   muda wa miaka mitano   toka sasa. Viongozi hao waliopatikana kupitia   kuchaguliwa na mkutano mkuu wa chama hicho,   uliofanyika jana katika ukumbi wa   chuo cha walimu mpwapwa mjini hapa . Akifungua   mktano huo mkuu wa wilaya ya mpwapwa   Dr Jasmini Tiisekwa    alisema ni vyema walimu hao wakatumia   haki yao   ya kikatiba,   kuwachagua   viongozi   wao   ambao   wataweza kushirikiana   katika   harakati za kumkomboa   mwalimu na katika kuweza kujiletea maendeleo endelevu. Aidha   Dr, Tiisekwa   aliwaasa viongozi     wa chama cha walimu hao kuweza kusimamia haki na wajibu wa wanachama wao   ili kuweza   kupunguza hali ya kutishia kwa kutoweka kwa amani   hapa nchini   kwa madai ya kudai haki kwa migomo na maandamano. Pai mkuu wa wilaya huyo   aliwataka walimu na wagombea hao kuweza kuendesha kampeni   za kistarabu   ili kuwa mfano wa k

Kangoye aliyeweza kupigania mazingira Mpwapwa

Image
Krisopher Kangoye aliyekuwa  mkuu wa wilaya ya mpwapwa aliye hamia katika wilaya ya Arusha aliweza kujitahidi kupambana na uharibifu wa mazingira  mpwapwa. M

HII NI NYUMBA AMBAYO ALIISHI SHABAN ROBART AKIWA ANAISHI MPWAPWA.

Image

BILION MOJA ZATOLEWA KAMA MKOPO NA FINCA MPWAPWA

  Na Stephen noel –Mpwapwa. JUMLA   ya shilingi   bilioni moja na    na million miatano zilitolewa kama mkopo mbalimbali na Benk Finca   tawi la Mpwapwa Mkoa wa Dodoma   kwa wateja   wake wapatao 2000 kwa mwaka 2013/2014. Kauli hiyo ilibainishwa na meneja wa Finca tawi la Mpwapwa   Bw,Edson   Joel alipokuwa akiongea na waaandishi wa habari   ofisini kwake   jana   kwa mahojiano maluum. Joel alisema mikopo walioyo itoa ni kwa ajili ya biashara kwa wafanya biashara    wakubwa wa kati, na wajasilia mali wadogo wa wilaya ya mpwapwa. Meneja huyo alisema   Lengo la   Benk hiyo   ni   kukuza   biashara na   kuimarisha uchumi kwa jamii na pia   kuondoa umaskini   kwa watanzania   ambao   wengi wao hufanya kazi   ya kupambana na umaskini lakini hukabaliwa na chanagamoto ya ukosefu wa mikopo na     elimu ya ujasilia mali . Amesema wao kama wadau   huwasaidia serikali katika kutekeleza malengo ya mileniam na kuweza nchi ya T anzania    kufikia kipato cha kati ifikapo 2025 ili kuwe

MADREVA WA BODABODA WAPIGWA MSASA MPWAPWA.

Na   Stephen noel mpwapwa. MADEREVA wote wa naoendesha vyombo vya moto wametakiwa kuzingatia   sheria   na alama za barabarani   ili kuweza kupunguza ajali sisizo kuwa za lazima kwa lengo kuakoa maisha ya watu na mali zao. Kauli hiyo imetolewa na   mkuu wa wa usalama   barabarani wilyani mpwapwa   Josephat Mjema alipokuwa akifungua mafunzo   ya siku saba ya   waendesha vitu   vya moto na wamiliki wa vitu vya moto na mafunzo yanayoendeshwa na shirika lisilo kuwa la kiserikali la   APEK. Aidha   Mjema alisema   jeshi la polisi limeingia mkataba   na shirika lisilokuwa la kiserikali   la APEK    kutoa mafunzo ya   usalama barabarani   kwa madreva wote wa naoendesha vitu vya moto , wanajamii ,na wamiliki wa vitu vya moto   kwa lengo la kuweza kupunguza ajili   za barabarani. Mjema alisema   kutokana na tafiti   zilizofanywa   na jeshi la polisi   wamegundua kuwa ajili nyingi zinazotokea   barabara   zinasababishwa na madreva kupuuzia   sheria za barabarani na alama za barabar

TASAF YASAIDIA KAYA MASKINI 6288 MPWAPWA

Na Stephen noel – MPWAPWA HALMASHAURI ya wilaya ya mpwapwa   mkoani Dodoma   imeanza kunufaisha kaya   maskini 6288zenye kipato   cha chini   kwa kuzipatia   fedha   za kujikimu   kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF   awamu ya nne. Gazeti hili limejaribu kutembelea kaya   maskini katika vijiji mbalimbali   vilivyo kuwa chini ya mrad na kukutatana na walegwa   ambao walikiri mpango huo tangu uanze kutekelezwa umeweza kubadilisha maisha yao   na sasa kuyaona kuwa maisha yao yamekuwa na unafuu   tofuati na hapo awali. Mmoja wa wanakijiji cha vighawe   kata ya vighawe Mery Mazanda amesema   awali   alikuwa ankula mlo mmoja kwa siku     lakini tangu mradi huo uanze kutekelezwa nay eye kuingia kwenye mpango kumeweza kubadilisha maisha yake na   afya yake imeboreka   kwa kuweza kula milo mitatu kwa siku. Amedai ‘”kuwaa   sasa anaishukuru serikali ya   Tanzania   kwa maana   isingekuwa hivyo sisi wanyonge tungekuwa tumekufa maana nilikuwa nakula mlo mmoja wa siku tu na siku