Posts

Showing posts from November, 2012

TASISI ZA MKOPO KIKWZO KWA WAJASILIA MALI WADOGO.

Na noel stephen dodoma Tanzania kuna uwezekano mkubwa  wa kushidwa kufikia   baadhi ya  malengo yake milenium kutokana na changamoto zilizoonekana katika utekelezaji wa malengo hayo. Akiongea na radio mwangaza fm mmoja wa wajasilia  mali  aliyejiatambulisha kwa jina la solomon Ambakisye alisema kuwa kuna chanagamoto kubwa  katika kulifikia lengo la tatu la milenium amabalo linadai kuondoa  umaskini wa  kipato  kwa mtanzania . Ambakisye amedai kuwa   wajasilia mali wengi nchini   hawana elimu ya  riba na mikopo kwa tasisi za fedha kitu ambacho kinawapelekea  kujingiza kwenye madeni yenye riba kubwa amabayo  amesema kuwa badala ya kuwainua kiuchumi  bali inazidi kuwadidimiza kwa mikopo hiyo kuwa na riba kubwa. Aidha amedai kuwa  bado serikali inatakiwa kulaumiwa kwa hili kutokana na kuweka malengo mengi   lakini kushindwa kuiwekea mikakati ya utekelezaji wa malengo hayo. "Tanzania sisi ni mabingwa wa kupanga  lakini ni  wadhaifu katika utekelezaji wa malengo tunayao jipangia  kutok

CCM YAIBUKA KIDEDEA UCHAGUZI WA UDIWANI MPWAPWA

na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo mto

TEMBO AUWA MTU CHUNYU MPWAPWA

na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo mto

MADIWANI WAMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MPWAPWA

na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo mto
na noel stephen SERIKALI imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa mikoa na wilaya nchini, pamoja na wakuu wa shule, kuhakikisha fedha zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Camfed linalojihusisha na masuala ya elimu kutumika kwa malengo  yaliyokusudiwa. Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Elimu, Kassim Majaliwa, alisema wizara imejipanga kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa fedha hizo ili kuhakikisha zinawafikia walengwa na haitasita kuwachukulia hatua kali watakaotumia fedha hizo kinyume. Alisema serikali tayari imeonyesha jitihada za kudhibiti fedha hizo ambazo zinafanya kazi ya kuboresha elimu hususan kwa watoto wa kike. Hata hivyo, alisema baadhi ya walimu wakuu ambao walibainika kuzitumia fedha hizo kinyume na matakwa walisimamishwa kazi na wengine kushushwa vyeo. “Kwa mfano kwa aliyekuwa mwalimu mkuu wa nyamisati na mwenzie wa kibiti tuligundua maeneo ambayo mto