Posts

Showing posts from May, 2012

SEHEMU ZA KIHISTORIA ZATELEKEZWA MPWAPWA

Image
  N a Stephen Noel   Mpwapwa/   Imegundilika kuwa japo kuwa Mji Mpwapwa una   maeneo mengi ya   kihitoria   na rasilimali za kale zilizoachwa na   Waarabu na Wajerumani lakini   rasilimali hizo bado hazija endelezwa ili kuweza kuisaidia Wilaya hiyo   Kiuchumi ,Kijamii   na Kisiasa, Hali hiyo imegunduliwa na Mwandishi wetu wilayani hapo alipo fanya uchunguzi wa awali kutambua   maeneo hayo na rasilimali hizo zilivyo weza kuisaidia jamii ya Mpwapwa kijamii, kiuchumi na kisiasa.   Alipo tembelea   maeneo hayo yaliyotumiwa na   wareno, waarabu,waingeleza na wajurumani ambao waligundua   kuwa mpwapwa kulikuwa ni   tawi la   njia kuu ya watumwa ya kati aliyo tumia   waarabu katika kuwasafirisha watumwa kutoka   Urambo-Tabora , Mpwapwa –Dodoma ,Kilosa –morogoro na   Chalinze Pwani hadi Bagamoyo. Aidha kuna sehemu kama ya kisima walichokunywa maji watumwa na mabwana wao katika eneo la stendi ya Mpwapwa mjini wakiwa njiani kutoka Kigoma kuelekea Bagamoyo. Pia kuna Mti wa Mlumbulumbu amba

MILIONI 850 ZATOLEWA MKOPO NA SACCOS YA MSHIKAMANO MPWAPWA

Na Noel   Stephen Mpwapwa Jumla ya shilingi milioni 815,000.000/zimetolewa kwa wananachama wapatao 800   wa Chama cha Ushirika Akiba   na mikopo   Saccos ya Mshikamano Baraza cha Mjini MPWAPWA.   Hayo yamebainishwa na meneja wa wa   Saccos hiyo   Bi   YOKEBEDY PANGAWE alipo kuwa akiongea na waandishi wa habari     jana ofisini kwake.   Bi Pangawe alisema kuwa chama hicho tangu kianzishwe mwaka   2003 hakijaweza kutoa mikopo   ya kiasi kikubwa   namana hiyo kwa wanachama wake ambapo wanachama hao wameweza kubadilisha maisha na kuongeza kipato cha familia na jamii inayo wazunguka , Aidha Bi Pangawe   aliongezea kuwa mikopo iliyo tolewa ni   kwa wanachama hao ni mkopo ya   kilimo ambayo inaghrimu kiasi cha shilingi milioni 350,000,000/ na mikopo ya bishara ni milioni 450,000,000/ na mikopo ya dharula ilitolewa mikpo ya kiasi cha shilingi milioni 15,000,000/-. Pia   Bi Pangawe alisema kuwa mbali na kutoa mikopo hiyo kwa wanachama wake   lakini wapo baadhi ya wanachama kuto kuitumia

VIONGOZI WA MOGADISHO WAJADILI MPANGO MKAKATI.

Image
ala wa mpito Na Mahmoud Mohammed, Mogadishu Mei 30, 2012 + Toa maoni sasa Chapisha Baruapepe Panga upya Wachambuzi wa masuala ya siasa wameyakaribisha makubaliano yaliyosainiwa wiki iliyopita mjini Addis Ababa na viongozi wa Somalia, wakiyaelezea kama hatua inayotoa matumaini na kuonyesha kuwa nchi hiyo iko karibu kufungua zama mpya. Wabunge wa Bunge la mpito la Somalia wakiandika dondoo wakati wa sherehe za kuapishwa mwaka 2004. Baada ya miaka 12, Somalia itakuwa na bunge lake jipya lililo rasmi baada ya kuisha kwa kipindi cha mpito mwezi Agosti mwaka huu. [Picha na Simon Maina/AFP] Makala zinazohusiana Mabadiliko ya baraza la mawaziri yaonekana kuhamasisha demokrasia ya Tanzania Somalia yakabiliwa na njia ngumu kutoka tawala ya mpito kuelekea shirikisho Mkutano wa II wa Garowe waandaa muundo wa serikali mpya Baada ya siku tatu za majadiliano ya ina k

KENYA WALEKEBISHA KOZI ZAO ZA JUU KUENDANA NA MALENGO YA MAENDELEO

Image
Mei 29, 2012 + Toa maoni sasa Chapisha Baruapepe Panga upya Taasisi za elimu ya juu za Kenya zinahitaji kurekebisha kozi zao kulingana na malengo ya ajenda ya maendeleo ya Kitaifa kama Dira ya 2030 itafanikiwa, wataalamu wasema. Wanafunzi wa Kenya wakisikiliza hotuba ya mahafali wakati wa sherehe ya mahafali katika Chuo Kikuu cha Kenyata jijini Nairobi. [Pedro Ugarte/AFP] Makala zinazohusiana Intaneti inayotumia mkonge wa nyaya yasaidia uchumi wa Kenya Kenya kuboresha usalama katika itifaki za Intaneti Huduma mpya ya barua-pepe kwa simu za mikononi yaiva Somaliland Dira ya 2030 ni mpango wa maendeleo wa Kenya wa kuiondoa nchi hii kutoka kwenye uchumi wa kipato cha kati kwa kuendeleza sekta ya miundombinu na utengenezaji, miongoni mwa sehemu nyingine. Simon Gicharu, mwazilishi na mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya, asema utoaji wa wahi

AL-SHABABU WAONDOLEWA MOGADISHU

Image
kwa kundi hilo linalojihusisha na mtandao wa al-Qaeda, wasema wachambuzi. Wanajeshi wa AMISOM wakilinda eneo la Afgoye. Kuushikilia mji huu muhimu kutoka kwa al-Shabaab ni ushindi mkubwa kwa vikosi vya majeshi ya ushirika. [Mahmoud Mohammed/Sabahi] Makala zinazohusiana Hali ya maisha ya Mogadishu imekuwa bora zaidi baada ya al-Shabaab kuondolewa Viongozi wa usalama katika kambi za Dadaab waweka amri ya kutotoka nje Polisi wa Kenya wataka yawepo mahusiano imara baina yao na jamii ya Wasomali Vikosi vya serikali ya Somalia na vile vya Umoja wa Afrika, (AMISOM) vilichukuwa udhibiti wa Afgoye hapo Ijumaa (tarehe 25 Mei) baada ya siku tatu za kampeni ya kijeshi. "Al-Shabaab wameshindwa vibaya na ushindi huu wa wazi kwa upande wa vikosi vya serikali na vya AMISOM mjini Afgoye ni pigo kubwa kwa kundi hilo; ambalo kamwe haliwezi kupona,” mchambuzi wa mambo ya siasa, kanali mstaafu Osman Aden, aliiambia Sabahi. Aden alisema kuichukua Afgoye,
Image
ab kutoka Mogadishu na kuimarika kwa hali ya usalama katika mji mkuu wa Somalia kumehamasisha wasanii wengi wa Somalia kurejea nyumbani. Kurejea kwao kunageuza wimbi la uhamiaji lililodumu kwa miaka mingi, wakati ambao majumba ya sanaa za maonesho na sinema mjini yalifunga milango yao, na kurejesha nyuma maendeleo ya sanaa. Waimbaji wa Somalia wakiimba katika uzinduz wa mpango wa maelewano ya kijamii huko Benadir yaliyofunguliwa na Meya wa Mogadishu Mohamud Ahmed Nur. [Na Adnan Hussein/Sabahi]

SHARIF AHMED RAIS WA SOMALIA AFANIKISHA MPANGO WA AMANI

Image
Mei 22, 2012 + Toa maoni sasa Chapisha Baruapepe Panga upya Rais wa Somalia na waziri mkuu walihutubia mkutano wa Mpango huko Addis Ababa mnamo Jumatatu (tarehe 21 Mei), wakisisitiza umuhimu wa kusaidia mpango wa mpito na maendeleo yake. Mtandao wa habari wa Garowe Online ya Somalia iliripoti. Makala zinazohusiana Mkutano wa Mpango Mkuu wa Somalia wafungwa Addis Ababa Wajumbe wa Mpango Mkuu wakutana huko Addis Ababa Viongozi wa Somalia wakutana kwa ajili ya mkutano wa Mpango wa kufanikisha malengo Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alibainisha mafanikio ya usalama katika kupambana na al-Shabaab. Waziri Mkuu Abdiwel Mohamed Ali alisema kuwa licha ya vizuizi katika kuchagua wajumbe wa baraza hili, mchakato utaendelea ili Serikali ya Mpito ya Shirikisho ifikie mwisho mwezi Agosti. Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa Somalia Augustine Mahiga alikuwa mwenyekiti wa mkutano huu na kutoa wito kwa wa

MAANA YA JINA MPWAPWA

Jina MPWAPWA ni MHAMVWA ambalo lilikuwa halisi kwa wenyeji   WAGOGO na   Korongo   linalotokea   KIkombo   kuelekea   hadi sehemu inayoitwa   KWAMSHANGO, Wajerumani walipo ingia   katika Nchi hii   walishidwa   kutamka   jina   MHAMVA(mamva)   wakaita   MPAPUA   Waimgeleza   nao   katika   butawala   wao   walisdhidwa    kutamka   neno MPAPUA   Wakaita   MPWAPWA.    Wilaya ya mpwapwa ni miongoni wa mwa   Wilaya   6sita   za mkoa wa DODOMA   na   inakadiliwa kuwa na wakazi wapatao 296,966, wenye   shughuli za kiuchumi   za Kilimo cha Mtama   Mahindi , Karanga   na ALIZETI, Ufugaji   kama NG,OMBE za kienyeji   Mbuzi Kondoo, na KUKU ,Ambapo   wakazi   wake ni   wa makabila ya   WAGOGO,WAHEHE,WASAGARA,WAKAGURU,na WABENA .       Mpwapwa ipo   umbali wa   km 120   kutoka   yalipo makao makuu ya   Mkoa wa DODOMA   na umbali wa   km 60 toka inapopita   barabara kuu ya lami DODOMA –DAR-ES-SALAAM   (MBANDE)

WATATU WAMKIMBIA MNYAMA WATAKA KUINGIA JANGWANI.

Image
KATIKA hali ya kujiimarisha kwa ajili ya msimu wa Ligi Kuu, klabu ya Yanga imepanga kuivamia kambi ya Simba na kusajili wachezaji watatu wa kikosi cha kwanza cha mabingwa hao wapya wa Bara.Kwa mujibu wa taarifa za ndani za Kamati ya Usajili ya klabu hiyo zilizopatikana jana, zimewataja wachezaji hao kuwa ni beki wa kati, Juma Nyoso, Juma Jabu na kiungo chipukizi Uhuru Selemani. Habari zaidi zinadai kuwa, Wanajangwani wako tayari kumwaga kiasi kikubwa cha pesa ili kuwanasa nyota hayo walioiwezesha Simba kutwaa ubingwa msimu huu kabla ya ligi kumalizika. Mtoa habari amepasha kuwa, tayari mazungumzo ya awali yamefanyika na kinachosubiriwa ni uamuzi wa wachezaji hao kukubali ofa na kisha kusaini mikataba. “Tumeshafanya mazungumzo ya awali, kwa sasa hatuwezi kuweka wazi kila kitu lakini tunachosubiri ni wao kukubali kusaini mikataba kwa ajili ya msimu ujao," alisema mtoa habari ambaye hakutaka jina lake kuandikwa gazetini kwa vile siyo msemaji. "Tunaamini kama tu

KITUO CHA HAKI ZA BINADAMU WAZIDI KUMTETEA LULU

MAOMBI ya uchunguzi wa umri wa muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anayekabiliwa na  kesi ya mauaji, yamepangwa kusikilizwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam  Mei 28, 2012. Lulu anakabiliwa na kesi ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hata hivyo, umri wake halali umezua utata kiasijambo ambalo limewalazimu Mawakili wanaomtetea kuwasilisha maombi mahakamani wakiitaka mahakama ifanye uchunguzi wa umri halali wa msanii huyo. Maombi hayo yaliwasilishwa Mahakama Kuu na mmoja wa mawakili wake, Peter Kibatala, Mei 17. Habari ambazo Mwananchi lilizipata jana kutoka mahakamani hapo na kuthibitishwa na Wakili Kibatala zinasema kuwa maombi hayo yamepangwa kuanza kusikilizwa Mei 28 na kwamba yamengiwa kusikilizwa na Jaji wa Dk Fauz Twaib. Katika maombi namba 46 ya mwaka 2012, mawakili hao wanaomtetea msanii huyo wanaiomba Mahakama Kuu itoe uamuzi kama Mahakama ya Kisutu ina uwezo wa kuamua ufanyike uchungu

MKUU WA POLISI ANATAKA AMANI ZANZIBAR

Image
0 digg Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema Elias Msuya na Salma Said, Zanzibar MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema na Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mohamed Aboud pamoja na viongozi wa dini jana walitembelea maeneo yaliyoshambuliwa katika vurugu zilizotokea visiwani hapa.Ziara hiyo imekuja wakati hali ya amani ikielezwa kurejea visiwani hapa baada ya ghasia zilizoanza Jumamosi usiku na kuendelea hadi juzi. Wakizungumza baada ya ziara hiyo, viongozi wa makanisa visiwani hapa walitoa malalamiko yao kuhusu vitendo vya uchomaji na uharibifu wa makanisa huku wakiitaka Serikali kutumia nguvu ya ziada kuingilia kati suala hilo wakisema tangu mwaka 2001 hadi sasa jumla ya makanisa 23 yameshachomwa moto Zanzibar. Katibu wa Umoja wa Wachungaji wa Zanzibar, Jeremiah Ko

ANGETILE AJIONDOA TUME YA UCHAGUZI

Image
nga  Send to a friend Tuesday, 29 May 2012 21:25 0 digg Jessca Nangawe KATIBU Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania(TFF), Angetile Osiah amejiondoa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa klabu ya Yanga na kusema, uamuzi wake haukusukumwa na taswira ya mgogoro wa uongozi ndani ya klabu hiyo. Karibu wiki moja iliyopita, Mwenyekiti wa Yanga Llyod Nchunga alitangaza kujiuzulu nafasi hiyo baada ya takribani mwezi mzima wa shinikizo la kumtaka kuchukua uamuzi huo toka kwa wanachama wa klabu hiyo. Shinikizo la kumtaka Nchunga kuachia nafasi hiyo, kulitanguliwa na  wajumbe kadhaa wa Kamati ya Utendaji wa klabu hiyo kujiuzulu nafasi zao na kubaki wanne toka 12. Wakati akijiuzulu, Nchunga alisema amefikia hatua hiyo ili kuepuka kuwa chanzo cha ukosefu wa amani ndani ya Yanga. Akiongea jana jijini Dar es Salaam, Osiah alisema uamuzi huo umekuwa wa lazima kwa vile siyo rahisi kwake kutumikia kofia mbili kwa wakati mmoja. "Majukumu yam

MOVEMENT ZA CHADEMA HATARI KWA CHAMA TAWALA

Image
0 digg Elias Msuya CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezindua harakati za mabadiliko hivi karibuni jijini Dar es Salaam unaojulikana kama ‘Movement for change’ (M4C)’ wenye lengo la kuchukua nchini mwaka 2015. Katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa Jangwani, viongozi wa Chadema wamefafanua maana ya harakati hizo, wakisisitiza kuingia Ikulu 2015. Akizungumzia kampeni hiyo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe amesema kuwa kuna gharama kubwa kuiondoa CCM madarakani. “Kila mwananchi anawajibu wa kubadilisha maisha yake. Kila mtu anapaswa kuwa wakala wa mabadiliko. Kuiondoa CCM kuna gharama kubwa, kule Arumeru walichanga thumni zao na kila walichokuwa nacho na hatimaye tulishinda, au siyo? Tusije tukapata viongozi kwa fedha chafu” amesema Mbowe. Ili kuhakikisha kuwa chama hicho hakiingiliwi na mamluki, Mbowe pia amesisitiza kuwa watakuwa makini na wanachama wapya wanaohamia Chadema akisema kuwa watatakaswa kwanza kabla ya kupewa uanachama. “Kuna

IDD SIMBA KIZIMBANI

Image
                                         

MWAKYEMBE ALONGA MKAKATI WA KUIMARISHA USAFIRISHAJI

Image

MADIWANI WATAKIWA KUWAJIBIKA

Image
Na siyena Mbuta Mpwapwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa wametakiwa kutekeleza majukumu yao kikamilifu kwa mujibu wa kanuni na sheria zilizopo ili kuwaletea wananchi maendeleo. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma   yaliyoandaliwa na tamisemi. Alisema Halmashauri   ya Wilaya ya Mpwapwa itafanikiwa kwa kiwango kikubwa endapo madiwani watapata mafunzo elekezi ili kutambua wajibu wao kikamilifu na hivyo kufanya kazi kwa kufuata misingi ya sheria. Kupitia mafunzo haya elekezi mliyoletewa na Tamisemi yatazaa matunda endapo mtayazingatia kikamilifu ili kuwa tatulia kero wananchi Lengo la kutoa mafunzo kwa madiwani ni kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ya kila siku pamoja na kujua sera ya utawala bora na uwajibikaji Alisema Nchimbi iwapo diwani atatambua majukumu yake itamjengea ujasiri wa kutatua kero za wananchi wake kwa kutoa kipaumbele ka

jaribio la kumuondoa papa

Image
MCL The Citizen Mwanaspoti Nation Monitor Digital Paper East Africa News Ingia Mwanzo Contacts Email Wed 30 May 5:42AM   Mwanzo Habari Biashara Michezo Burudani Ajira Uchambuzi Jumapili Makala Picha Tangaza Kipanya RSS Home Habari Habari za Kimataifa Jaribio la kumwondoa Papa lanukia Vatican BOOKMARK THIS PAGE Jaribio la kumwondoa Papa lanukia Vatican  Send to a friend Tuesday, 29 May 2012 21:11 0 digg 0 digg VATICAN, Rome TAARIFA za kuvuja kwa nyatraka za siri kutoka ofisi ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani zimeibua taswira mpya, wataalamu wakieleza kuwa zinaambatana na mchakato wa kuanza kumuandaa kiongozi mpya wa Kanisa hilo, atakayechukua nafasi ya kiongozi wa sasa, Papa Benedict XVI. Kwa mujibu wa wataalamu wa masuala ya kanisa hilo mjini Vati